Mbahili
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 281
- 525
Mimi stori iko hivi,
Mnamo mwaka 2020 nilianza kuwa na mahusiano na binti mmoja(mcha Mungu sana). Alikuwa anasoma chuo fulani jijini Arusha, nakumbuka hicho kipindi nilifanikiwa kupata tempo mahala fulani( si unajua hela za tempo) so, ikabidi niwe natumia muda mwingi kutembea wakati wa kurudi nyumbani.
Kwa kuwa ni mpenzi wangu halali na mcha Mungu mara alikuwa anakuja kwangu tunaspend weekend pamoja, sikuwa na wasiwasi. Siku moja mnamo mwaka 2021 alikuja kwangu kama kawaida yake ila kuna namba ikawa inapiga na kumsumbua (kila akiona hiyo call ananiangalia then hapokei). Nilimuuliza mbona hapokei simu anajibu ni mdeni anamsumbua(koz kuna kipindi alinambia anadaiwa kiasi kadhaa nikajikamua nikampatia) akaniambia ile hela aliongezea kidogo akalipia pango ila mdeni bado anadai chake.
Nikatafakari nikapata wazo, alivyotoka kwenda kuyapata maji, niliblock zile number then nilijua mdeni atatapika nyongo akiona amekuwa blocked.
Alipotoka kuoga tukala stori tukala then tukalala, but by saa 8 nikakumbuka kumtoa mfungwa niliemfunga jela hahaha.. kabla sijamtoa ikabidi niende kwenye blocked messages. Hapo nilichoka. Kumbe huyu mtakatifu wangu kabadilisha chongeo kuwa mtaji, yaani anatumia equation y=X² mm ndo y, jamaa ndo x². Akinipa mbili jamaa nne, akinipa 6 jamaa 36. Jamaa alituma message from saa 2 mpaka saa 7 huko. Nilipata full picha yaani. Dah nikazifuta, nikamu unblock jamaa asubuhi nikamwambia nmepata dharura inabidi nitoke(niliogopa hata kumwacha ndani).
Tulitoka akaenda chuo(nadhani kumfariji mr x². Sikuwaza wala nn. Nilishangaa how comes kwa cm yake tunapicha zetu tumepiga hata ukiona unajua she's in relation but jamaa huwa haangalii au. Nadhani ht wall paper kaweka tukiwa tumehug. (Au alikuwa na highest cheating IQ?
Harmonize anasema,"Hata za mwizi arobaini".
Siku moja nikiwa nmetoka kwa pilika zangu simu ikawa imekata chaji, na kuna mtu wa muhimu nilitaka wasiliana nae b4 sijashuka skani. Nikapita sokoni kuchukuq viwili vitatu, then nimpelekee tukapike then tuke bhana. Kweli nikapita nikanunua baadhi ya mahitaji nikaenda bhn.
Nilifika nikamkuta na best ake( her best friend looks so innocent) tukasalimiana just shem mbona umetususa and all that. Tukapika fresh nikaboost simu nikawa nataka kutoka mara ghafla mlango unagongwa. ....
Itaendelea............(1/2)
Mnamo mwaka 2020 nilianza kuwa na mahusiano na binti mmoja(mcha Mungu sana). Alikuwa anasoma chuo fulani jijini Arusha, nakumbuka hicho kipindi nilifanikiwa kupata tempo mahala fulani( si unajua hela za tempo) so, ikabidi niwe natumia muda mwingi kutembea wakati wa kurudi nyumbani.
Kwa kuwa ni mpenzi wangu halali na mcha Mungu mara alikuwa anakuja kwangu tunaspend weekend pamoja, sikuwa na wasiwasi. Siku moja mnamo mwaka 2021 alikuja kwangu kama kawaida yake ila kuna namba ikawa inapiga na kumsumbua (kila akiona hiyo call ananiangalia then hapokei). Nilimuuliza mbona hapokei simu anajibu ni mdeni anamsumbua(koz kuna kipindi alinambia anadaiwa kiasi kadhaa nikajikamua nikampatia) akaniambia ile hela aliongezea kidogo akalipia pango ila mdeni bado anadai chake.
Nikatafakari nikapata wazo, alivyotoka kwenda kuyapata maji, niliblock zile number then nilijua mdeni atatapika nyongo akiona amekuwa blocked.
Alipotoka kuoga tukala stori tukala then tukalala, but by saa 8 nikakumbuka kumtoa mfungwa niliemfunga jela hahaha.. kabla sijamtoa ikabidi niende kwenye blocked messages. Hapo nilichoka. Kumbe huyu mtakatifu wangu kabadilisha chongeo kuwa mtaji, yaani anatumia equation y=X² mm ndo y, jamaa ndo x². Akinipa mbili jamaa nne, akinipa 6 jamaa 36. Jamaa alituma message from saa 2 mpaka saa 7 huko. Nilipata full picha yaani. Dah nikazifuta, nikamu unblock jamaa asubuhi nikamwambia nmepata dharura inabidi nitoke(niliogopa hata kumwacha ndani).
Tulitoka akaenda chuo(nadhani kumfariji mr x². Sikuwaza wala nn. Nilishangaa how comes kwa cm yake tunapicha zetu tumepiga hata ukiona unajua she's in relation but jamaa huwa haangalii au. Nadhani ht wall paper kaweka tukiwa tumehug. (Au alikuwa na highest cheating IQ?
Harmonize anasema,"Hata za mwizi arobaini".
Siku moja nikiwa nmetoka kwa pilika zangu simu ikawa imekata chaji, na kuna mtu wa muhimu nilitaka wasiliana nae b4 sijashuka skani. Nikapita sokoni kuchukuq viwili vitatu, then nimpelekee tukapike then tuke bhana. Kweli nikapita nikanunua baadhi ya mahitaji nikaenda bhn.
Nilifika nikamkuta na best ake( her best friend looks so innocent) tukasalimiana just shem mbona umetususa and all that. Tukapika fresh nikaboost simu nikawa nataka kutoka mara ghafla mlango unagongwa. ....
Itaendelea............(1/2)