muneera75
Senior Member
- Oct 12, 2019
- 190
- 318
Habari..
Hivi ushawahi kusafiri kwenda safari za mikoani au nje ya nchi au hapa na pale mfano Kariakoo au Tandika au Mwenge alafu ndani ya bus au gari ukakutana na kitu cha ajabu au cha kutisha au kushangaza?
Au katikati ya safari kuna kuchimba dawa. Pale ushawahi kukutana na kitu gani si cha kawaida kwako?
Hivi ushawahi kusafiri kwenda safari za mikoani au nje ya nchi au hapa na pale mfano Kariakoo au Tandika au Mwenge alafu ndani ya bus au gari ukakutana na kitu cha ajabu au cha kutisha au kushangaza?
Au katikati ya safari kuna kuchimba dawa. Pale ushawahi kukutana na kitu gani si cha kawaida kwako?