Tukio gani ulilishuhudia mgahawani/hotelini likakutia kinyaa?

Tukio gani ulilishuhudia mgahawani/hotelini likakutia kinyaa?

Stephen Ngalya Chelu

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2017
Posts
8,252
Reaction score
18,335
Enzi huzo nipo chuo, mida ya asubuhi nimeenda mgahawani kupata supu then niingie zangu pindi.

Basi bwana, nikafika nikaagiza supu nikawa nasubiriwa niletewe.

Sasa kuna vile vitambaa vya kufutia meza vile, mmoja wa wahudumu alifuta meza kisha akaondoka nacho akelekea nacho kwenye sufuria la supu. Sijui alikwena nacho kuho kufanya nini..!

Sasa ile anafungua tu sufuria la supu kile kitambaa kikamponyoka kikadumbukia ndani.

Akapiga jicho kwa wateja ili aone kama wameona, akakuta namcheki, chap kwa haraka akakitoa kisha akajikausha.

Na mimi muda huo huo nikaondoka kimya kimya nikasepa...
 
Niliona mama ntiliee akikanda unga uku kapenga kamasii
 
Kuna uzi humu jf unafanana na huu nadhan ungeunganishwa tu.
 
Sikuona ila niliambiwa mama mmoja tulikuwa tunaenda kula futari kwenye mgahawa wake maeneo ya Bagamoyo. Walituambia alikuwa akivhemsha chai, badala ya kuichuja kwa chujio la chai alikuwa akiichuja kwa chuppppppi yake aliyoivaa ~ anaivuta chuppppppi yake kama anaivua kisha anakaa kwenye kiti anapanua miguu yake anakamata birika la chai analengesha pale kati inachujwa huku chupa ya chai kaitegeshea kwa chini yake. Nolipodadisi wakadai kwamba chupppppi yake hiyo ilikuwa zile jamii ya nyavu nyavu kwenye sehemu ya kufunika kitumbua chake. Nilichoka
 
 
Nilikua nataka kununua Halfcake si nikaona mende. Huyoooo nikasepa aisee
 
Mwanamke kajikuna uke na kidole akanipa chapati na dole .
 
Back
Top Bottom