Tukio hili la tuzo za TMA ni aibu kubwa kwa tasnia na taifa

Tukio hili la tuzo za TMA ni aibu kubwa kwa tasnia na taifa

Kanali_

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2018
Posts
6,438
Reaction score
10,180
Nafasi niliyoacha hapo juu ni salaam,

Kifupi mpangilio wa tukio ni mbovu kupita kiasi, Ma Mc nao ndo wameharibu kabisa shughuli yenyewe!

Kifupi hakukuwa na maandalizi kabla ya tukio au labda waliamua kufanya ilimradi iwe.

Tukio la tuzo ni tukio kubwa na lenye heshima zake siyo jukwaa la mizaha na masikhara. Tukio la tuzo za mwaka huu limetia aibu tasnia na Taifa, hebu pungzeni siasa na mizaha kwenye kazi za watu. NIMEMALIZA.
 
TMA ilikuwa zamani ,kwasasa hakuna issue ,enzi za mtoto wa dandu ndiyo zilikuwa awards kweli ila sasa magumashi tupu yaani msanii anaomba kuwa kwenye tuzo ,its nonsense ,kwani hatuna vyombo vinavyomonitor nyimbo? America wana RIAA ,inabidi na sisi tuwa nayo huku Bongo.
 
Tukisema kila kitu kina wakati wake mna kataa tuzo siku hizi watu wanapewa na YouTube. It is the matter of viewers and followers uwe umeimba upumbavu au umbeimba vzr. Namaanisha ni kipindi ambacho unaweza kumpambanisha Jaydee na Zuchu akashinda Zuchu. Kama ujaelewa dunia inaenda wapi kaa chini ujitafakari.
 
Tukisema kila kitu kina wakati wake mna kataa tuzo siku hizi watu wanapewa na YouTube. It is the matter of viewers and followers uwe umeimba upumbavu au umbeimba vzr. Namaanisha ni kipindi ambacho unaweza kumpambanisha Jaydee na Zuchu akashinda Zuchu. Kama ujaelewa dunia inaenda wapi kaa chini ujitafakari.
Kuna Uzi niliona mtu anasema zuchu anamzidi jide, aisee Hawa watoto wa 2000, ndo maana wanasemaga "nikilewa nakua mtamu"
 
Coy mzungu alipo SEMA anamshukuru mama Samia.

Saidi saidi akamzingua akamwambia aache siasa akasema wakianza kumshukuru RAIS barabara N.k coy mzungu akawa kaduwaa😊😔

HAWAPO organized kabisa na ndipo usemi wa MTU MWEUSI HAWEZI KUFUATA RATIBA WALA KUJIONGOZA .
 
Coy mzungu alipo SEMA anamshukuru mama Samia.

Saidi saidi akamzingua akamwambia aache siasa akasema wakianza kumshukuru RAIS barabara N.k coy mzungu akawa kaduwaa[emoji4][emoji17]

HAWAPO organized kabisa na ndipo usemi wa MTU MWEUSI HAWEZI KUFUATA RATIBA WALA KUJIONGOZA .
Kifupi lilikuwa tukio la aibu.
 
Back
Top Bottom