samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Ni tukio kuuubwa kabisa la burudani kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa ujumla wake na tukio lenyewe ni WASAFI BEACH PARTY wakishirikiana na VODACOM TANZANIA wanakuletea wasanii vipenzi vya watanzania na Africa nzima kwa ujumla.
Tukio hili la burudani litaongozwa na msanii namba moja Africa mashariki DIAMOND PLATNUMZ akiwa na wasanii wengine wa LEBO KUUUUBWA Afrika mashariki na kati ya WCB,ambao ni Harmonize,Rayvanny,Rich Mavoko na mwanadada pekee kwenye lebo hiyo Queen Darlin.
Haya sasa wadau,mjichange ili kama vipi twende tukapate burudani ya muziki mzuri kutoka kwenye kundi la wasanii wa LEBO KUUUUUUUBWA KABISA Africa.
Kumbuka tukio hili kwa hapa Dar es Salaam litafanyika pale Jangwani sea breeze tarehe 24/12/2016, na kiingilio kwa hapa Dar ni 30,000/= kawaida na wale watu maalum tsh 100,000/= na tukio lingine litakuwa Iringa 25/12/2016 siku ya sikukuu ya X mass, na litafanyika kwenye uwanja wa Samora na kiingilio ni tsh 10,000/= kwa wote. KARIBUNI WOTE BILA KUKOSA.
Tukio hili la burudani litaongozwa na msanii namba moja Africa mashariki DIAMOND PLATNUMZ akiwa na wasanii wengine wa LEBO KUUUUBWA Afrika mashariki na kati ya WCB,ambao ni Harmonize,Rayvanny,Rich Mavoko na mwanadada pekee kwenye lebo hiyo Queen Darlin.
Haya sasa wadau,mjichange ili kama vipi twende tukapate burudani ya muziki mzuri kutoka kwenye kundi la wasanii wa LEBO KUUUUUUUBWA KABISA Africa.
Kumbuka tukio hili kwa hapa Dar es Salaam litafanyika pale Jangwani sea breeze tarehe 24/12/2016, na kiingilio kwa hapa Dar ni 30,000/= kawaida na wale watu maalum tsh 100,000/= na tukio lingine litakuwa Iringa 25/12/2016 siku ya sikukuu ya X mass, na litafanyika kwenye uwanja wa Samora na kiingilio ni tsh 10,000/= kwa wote. KARIBUNI WOTE BILA KUKOSA.