sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Mimi ni MZAZI, Mimi ni mlezi, Mimi ni mhanga mkubwa wa ukatili unaoendelea dhidi ya watoto wa kike.
Nina hakika kupitia hapa wasomaji wa Jamii forums mtakumbuka kisa kimoja nilikileta hapa nacho si kingine ni kile Cha kufiwa na mwanangu aliye kuwa mwanafunzi wa kidato Cha Tano shule ya sekondari Lindi gerls (Soma hapa na hapa)AMBACHO mpaka Leo hii Mimi naamini mwanangu alifia mikononi MWA mkuu wa WILAYA ya Lindi, ocd Lindi, mkurugenzi wa halimashauri Lindi, mwalimu mkuu wa secondari Lindi gerls na watumishi wengine wa Umma.
Ni kupitia hapa jukwaani nilielezea vyema jinsi watumishi wa serikali hii walivyousika kumuua mwanangu wa pekee, Leo hii usiku WA manane namwona Binti mdogo mwenye umri kama wa marehemu Binti yangu anafanyiwa ukatili wa namna hii?
Iko siku nitaanika jinsi vyombo vyetu vya Dora vinavyotumika vibaya dhidi ya raia wa Tanzania, ( ripoti ya UCHUNGUZI kutoka MAKAO MAKUU ya jeshi la polisi inasema mwanangu alikufa kifo Cha kawaida yaani aliumwa u.t.i na marelia ndani ya MASAA 12 akafariki, mkuu wa WILAYA,ocd, na mkurugenzi wakaona busara KABLA Mimi km MZAZI sijafika ENEO la TUKIO wanunue jeneza, wanunue nguo mpya, waandae gar la kubebea mahiti, wamvue nguo mwanangu wamvulishe nguo mpya wampake lipstick wamtie kwenye jeneza nikifika hosptali walikoniitia wanikabidhi mahiti, kwenye landlover na kunielekeza niende nikazike).
Leo hii mida hii usiku WA manane ninaweweseka picha ya kifo Cha mwanangu inanijia naamka nashika simu nakutana na ukatili mkubwa ukifanywa na vijana baadhi kutoka jeshini ila mkuu wangu wa Majeshi umelala usingizi wa pono?
Nimeumia sana naumia sana nikikumbuka yakuwa kifo Cha mwanangu ikulu ilimwelekeza RPC Lindi afukue mwili wa mwanangu uchunguzwe chanzo Cha kifo CHAKE lakini hakufanya hivyo kwa KUSHIRIKIANA na Mr wankyo kwa madai yakuwa aliyekufa amekufa ila wanao ishi waachwe kazini? Hata agizo la ikulu lapuuzwa? ( Najua taarifa kama hii ikimfikia mkurugenzi wa Jamii forums anaweza Lia machozi, Nina hakika andiko langu ili litamfikia atalisoma na atalia machozi mengi na kumwaribia siku ya Leo maana baada ya TUKIO lire KUANDIKwa hapa Moja ya watu AMBAO walinipambania ni yeye kwa KUHAKIKISHA anafikisha taarifa hizo OFISI zote usika,ikiwemo OFISI ya Rais idara maalumu( sitakiwi kutoa Siri ila ukweli utabakia moyoni, juhudi za mkurugenzi HUYU zilikuwa kubwa sana, popote ulipo max Mungu akupe njozi njema ndugu yangu usiku huu, AMBAO Mimi usingizi Sina na nazidi kuukosa ninapozidi KUKUTANA na vitendo vya ukatili dhidi ya watoto wa kike.
Mkuu wa Majeshi, mkuu wa idara ya usalama wa taifa, mkuu wa polisi amkeni nchi ya Tanzania yaitaji ulinzi dhabiti, taarifa za kutekwa kwa raia sio drama it's real guys
Jitokezeni toeni neno.
Pia soma:
Nina hakika kupitia hapa wasomaji wa Jamii forums mtakumbuka kisa kimoja nilikileta hapa nacho si kingine ni kile Cha kufiwa na mwanangu aliye kuwa mwanafunzi wa kidato Cha Tano shule ya sekondari Lindi gerls (Soma hapa na hapa)AMBACHO mpaka Leo hii Mimi naamini mwanangu alifia mikononi MWA mkuu wa WILAYA ya Lindi, ocd Lindi, mkurugenzi wa halimashauri Lindi, mwalimu mkuu wa secondari Lindi gerls na watumishi wengine wa Umma.
Ni kupitia hapa jukwaani nilielezea vyema jinsi watumishi wa serikali hii walivyousika kumuua mwanangu wa pekee, Leo hii usiku WA manane namwona Binti mdogo mwenye umri kama wa marehemu Binti yangu anafanyiwa ukatili wa namna hii?
Iko siku nitaanika jinsi vyombo vyetu vya Dora vinavyotumika vibaya dhidi ya raia wa Tanzania, ( ripoti ya UCHUNGUZI kutoka MAKAO MAKUU ya jeshi la polisi inasema mwanangu alikufa kifo Cha kawaida yaani aliumwa u.t.i na marelia ndani ya MASAA 12 akafariki, mkuu wa WILAYA,ocd, na mkurugenzi wakaona busara KABLA Mimi km MZAZI sijafika ENEO la TUKIO wanunue jeneza, wanunue nguo mpya, waandae gar la kubebea mahiti, wamvue nguo mwanangu wamvulishe nguo mpya wampake lipstick wamtie kwenye jeneza nikifika hosptali walikoniitia wanikabidhi mahiti, kwenye landlover na kunielekeza niende nikazike).
Leo hii mida hii usiku WA manane ninaweweseka picha ya kifo Cha mwanangu inanijia naamka nashika simu nakutana na ukatili mkubwa ukifanywa na vijana baadhi kutoka jeshini ila mkuu wangu wa Majeshi umelala usingizi wa pono?
Nimeumia sana naumia sana nikikumbuka yakuwa kifo Cha mwanangu ikulu ilimwelekeza RPC Lindi afukue mwili wa mwanangu uchunguzwe chanzo Cha kifo CHAKE lakini hakufanya hivyo kwa KUSHIRIKIANA na Mr wankyo kwa madai yakuwa aliyekufa amekufa ila wanao ishi waachwe kazini? Hata agizo la ikulu lapuuzwa? ( Najua taarifa kama hii ikimfikia mkurugenzi wa Jamii forums anaweza Lia machozi, Nina hakika andiko langu ili litamfikia atalisoma na atalia machozi mengi na kumwaribia siku ya Leo maana baada ya TUKIO lire KUANDIKwa hapa Moja ya watu AMBAO walinipambania ni yeye kwa KUHAKIKISHA anafikisha taarifa hizo OFISI zote usika,ikiwemo OFISI ya Rais idara maalumu( sitakiwi kutoa Siri ila ukweli utabakia moyoni, juhudi za mkurugenzi HUYU zilikuwa kubwa sana, popote ulipo max Mungu akupe njozi njema ndugu yangu usiku huu, AMBAO Mimi usingizi Sina na nazidi kuukosa ninapozidi KUKUTANA na vitendo vya ukatili dhidi ya watoto wa kike.
Mkuu wa Majeshi, mkuu wa idara ya usalama wa taifa, mkuu wa polisi amkeni nchi ya Tanzania yaitaji ulinzi dhabiti, taarifa za kutekwa kwa raia sio drama it's real guys
Jitokezeni toeni neno.
Pia soma:
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya