fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Aisee inaumiza sana waandishi wa habari kazi kusifia, kusujudu, kukosoa mwatukio yanayoendelea hawajishugulishi.
Hatuoni hata kupost kukemea ila hii ya safari hii imekuwa kubwa sana
Serikali ijiangalie; mm sio mtu wa siasa wala nn ila kwa yanayoendelea hapa nchini kuna kitu kinasukwa tena kibaya hii nchi ni yetu wpte halafu watanzania tuache uchawa na ujinga mwenzenu anabebwa tena kwenye basi hata kuhojo dah.
Hatuoni hata kupost kukemea ila hii ya safari hii imekuwa kubwa sana
Serikali ijiangalie; mm sio mtu wa siasa wala nn ila kwa yanayoendelea hapa nchini kuna kitu kinasukwa tena kibaya hii nchi ni yetu wpte halafu watanzania tuache uchawa na ujinga mwenzenu anabebwa tena kwenye basi hata kuhojo dah.