Tukio la kifo cha Sheikh Abeid Karume hatua kwa hatua

Mkuu naomba tufafanulie kidogo jinsi hao viongozi walivyopotea nasi tupate faida
It was not an intricate plot.

Haukuwa mpango madhubuti saaaaana wa kikachero na kimafioso, waliwakamata D'Salaam, next thing wakaonekana kwenye jela Unguja halafu wakachukuliwa usiku usiku hawakuonekana tena.

Wafanyakazi wastaafu wa jela za Karume ndio walikuja baadae kuonyesha walipopigwa risasi na walipofukiwa.



Hawa ndio maswaiba wa kufa na kuzikana ambao Karume alianza nao serikali.

Half of them wound up missing, jailed, tossed in the ocean and dead in the water.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…