Tukio la kusisimua nililolishuhudia kwa macho yangu katika msitu wa Nairoto

Mkuu Angusha mambo aisee, ila hata mm hizo habari za huu msitu nishasikia na kuna uzi humu wa maajabu kama sikosei wadau walitiririka sana habari za huu msitu
 
Jamaa alivyotoroka kambini wenzake kanikumbusha nilivyotoroka jeshini usiku Wa SAA saba na nusu nikipitia maporini yenye wanyama Wa kila aina ila nashukuru Mungu alikuwa upande Wangu nilitoboa nikafika home salama Sikh ya pili yake.
[emoji28][emoji28] vp kaka tizi liligoma kwenda sawa na mwili?
 
πŸ‘
 

Nipe maujanja ya glycerine
 
Pale chita kambini morogogoro kuna mwamba mmoja ambao chini yake kuna milango mitatu ambayo imefungwa na makufuli fulani sio ya sayari hii. Naskia walishajaribu kugonga hadi grenade lakini wapi. Inasemekana mle ndani kuna mali
Hv Yale mamilango ndo Yale yanayoonekana pale kambini hata ukiwa huku barabarani?huwa naona Kuna milango mfano wa mapango hv.
 
nimejistaafisha kwa lazima aisee.....naona nipumzike nifanye mambo mengine vinginevyo kazi itakuwa kuzunguka maporini tu na kuhatarisha uhai......huko tabora kupishana na koboko na usiku kuskia muungurumo wa simba dah hatariii...
Heri muungurumo wa simba kuliko tukutane2na mnyama koboko, inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana hii kazi
 
Looh....

Mkuu wangu kwanini hushauri wanao kuwa wajeda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…