Mimi ninajitambua, kamwe siwezi kupoteza muda wangu kuipigia kura ccmNdo mafanikio ya JPM hayo hebu mpe kura uendelee kutusua.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Ushachoka kutusua mara hii?Mimi ninajitambua, kamwe siwezi kupoteza muda wangu kuipigia kura ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
Ndo mafanikio ya JPM hayo hebu mpe kura uendelee kutusua.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Wewe si ndio ulikuwa unaomba corona ije tanzania ili iwaue ccm?Nikiwaambia watu kwamba Tundu Lissu anaenda Ikulu Kama mchezo mchezo vile hawaelewi.
Yaani mwaka huu kila kitu kimeshakamilika na kupangwa ndio maana wabishi bado tunawacheck tu.
Lissu ndiye Rais wa JMT kuanzia October 2020.
Unaongelea kutrend wapi? Jf?Kusoma hujui hata picha uoni? Jamaa kazungumzia Nyamongo vs Iringa kutrend
oct28 arudi chatle.Lisu2020Acheni kulialia, tulieni dawa iwaingie.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Tuliona watu wanaosombwa kwa malori kwenda uwanjani lkn walikuwa bize na simu zao kumsearch na kumsikiliza Lisu ktk simu zao. Ilifika mahali hata mzungumzaji akaongea haraka ili akaangalie kwenye simu yake...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
Bibi ana msongo wa mawazo huyo...kwahiyo yeye anaona maisha ya uhuru tulionao ni heri ya mkoloni?Pole zako nyingi hata huyu bibi kakuzidi akili.
Wamesha data tayari, Lissu siyo mchezoUwe unasoma kwa kituo badala ya KUKURUPUKA na kuandika UPUUZI!
ahahahaah kuna TBCCM fiesta
Bibi ana msongo wa mawazo huyo...kwahiyo yeye anaona maisha ya uhuru tulionao ni heri ya mkoloni?
Nyie subirieni October 28 CCM tuwashikishe adabu.
JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
Anapiga fia kwa chumvi tu kudadadeeekiiiafadhali Mutwishe, je Fii...mbile kabisa ndilo linashindia
Nyamongo kumetokea ninNadhani Chama tawala wanakwama kwenye mikakati, nadhani dola inawaangusha wakiwa na Jambo lao.
Leo tukio la Polisi Nyamongo limechukua headlines social media nakufunika kampeni za Iringa zilizoandaliwa for five days. Hii kwenye siasa haitokei bahati mbaya, aidha Mwenyenzi Mungu anawachapa au binadamu wanawahujumu.
Ukikosea kwenye TIME and TIMING, Strategicaly umekwisha. Tunazidi kupotea kwenye ramani, gharama za kuzoa watu wilayani kuwapeleka mjini na kutumia wanafunzi mwisho wake ndo huu.
Siyo wakati wote dola inasaidia wakati wa uchaguzi dola ukasirisha zaidi wapiga kura.
NYAMONGO vs IRINGA
Wamezoea vya kunyongaKwa akili yako FINYU mkipimwa akili wewe na Bibi yako itaonekana na hitilafu kubwa sana. Ushimshikishe adabu nani wewe kwa ushindi haramu na hivyo kuwa na Serikali haramu?
Hapana, Iringa kuna tukio, lakini mtoa mada amezungumzia maneno matatu, ambayo tunaweza kusema ni key words kwenye huu uzi! MAKAKATI, TIME, TIMING!...akili matope bwana!
Kwamba Iringa hakuna kilichoendelea,ama?!
Lissu katoa sauti ya mamlaka mpaka yule afande nilimuonea huruma, alikuwa kama kamwagiwa maji ya baridi!