Tukio limefanya nitafute mwenza

Tukio limefanya nitafute mwenza

jblus

New Member
Joined
Nov 27, 2024
Posts
3
Reaction score
5
Natumai mko salama
Mwenzenu nilipigwa tukio ambalo liliniacha taabani kwa miezi kadhaa sasa

Wakati niko Chuo (SAUT) Mwanza, nilibahatika kupata mdada tuliekua nae chuo nikampenda na tukajikuta tupo kwenye mahusiano.

Baada ya kumaliza Chuo tuliamua kubaki Mwanza kupambana na maisha. 2019 rasmi tukaingia mtaani kujitafuta.

Tukaanza kuhangaika na biashara ndogondogo za hapa na pale ambazo zikawa zinatupatia kias kidogo cha pesa kujikim na maisha. Muda wote huo tulikua bado hatujatambulishana rasmi katka familia zetu.

2021 akapata ujauzito, na tukaelewana baada ya kujifungua bas twende nyumbani tukatambulishane. Bahati mbaya ujauzito ukaharibika ukiwa na miezi minne.

Lakini tukaendelea na mpango wetu wa kwenda kutambulishana kwa wazazi, ambapo tulienda kwao Moshi nikajitambulisha na nikatoa na mahari (maana nilikua nimesave kias flan cha pesa).

Mwaka uliofuata 2022 kuna rafiki yangu akanifundisha biashara ya mazao. Tukawa tunaenda kijijin kununua mazao (mpunga na mahindi) tunaleta mjini.

Biashara hii ilianza kunipa faida nzuri kidogo na maisha yetu kidogo yakaanza kubadilika tofauti na mwanzo.

Nikajikusanya pesa kama M5 nikamfungulia salon ya kike. Kisha nikajichanga tena kwa mda flani tukanunua kiwanja (Kisesa).

Nachomshukuru Mumgu skua mtu wa pombe wala wanawake so nilikua naweza kusave pesa japo biashara haikua kubwa sana.

Sasa kuna tukio likaja kunipata mwaka huu mwezi wa sita. Huwa tukienda kijijin kukusanya mazao huwa tunakaa siku nne mpaka wiki. Safari moja nikawa nimeenda kijijin, baada ya siku mbili pesa niliyokua nayo ikakata, nikasema nimpigie wife aniazime kias flani then nikiuza nzigo nimrudishie.

Siku hiyo nilipiga sana simu haipatikani Piga sanaaa lakini haipatikani. Kesho yake nikaamua kufunga safari kurudi home nijue tatizo ni nini. .

Nafika home sikuamini nilichokikuta.. Nilikuta nyumbani hakuna hata kijiko chumba cheupe, nikakimbia salon kwake sikukuta ata kitana😭...

Alibeba kila kitu akatokomea. Nikapiga simu kwao wakasema hawajui alipo na hata wao hawampati kwenye simu.

Niliumia sana maana sikujua sababu ya yeye kuondoka ni nini, hatukua na ugomvi wowote tuliishi kwa amani na upendo.

Baadae mwezi wa nane nikaja kuskia kumbe aliondoka na rafiki ake walienda Uarabuni kufanya kazi. Sikutaka tena kumfatilia wala kujua habari zake.

Japo alinirudisha nyuma sana kiuchumi na kila kitu coz nilijikuta nimeanza maisha upya kabida na nikaanza kunywa pombe kuondoa mawazo mpaka biashara nikastop.

Nashukuru Mungu ile hali niliishinda nikaachana na pombe na nimeanza tena biashara yangu mdogomdogo.

NIPO HAPA KWA SHIDA MOJA
Kwa mda mrefu sana nimejikuta sipo kwenye mahusiano maana niliyachukia kwelikweli. Naomba kama kuna mdada ambae yuko tayari kuanzisha mahusiano yenye lengo la kuoana, alie tayari kuanza maisha ya chini, mwenye sifa zifuatazo
-Awe na hofu ya Mungu
-Asiwe mlevi (kama mywaji iwe kidogo)
-Asie mvivu (mpambanaji)
- Umri asizid miaka 32
-Dini yyte (mm ni mkristo)

Plz ani dm au anitumie email kupitia @salumjohn296@gmail.com
 
Kusimulia/kwenda moja kwa moja kwenye hoja na kwa ufupi huwa hamuwezi?Anyway,uoe acha kutafuta sympathy/empathy!
 
Kusimulia/kwenda moja kwa moja kwenye hoja na kwa ufupi huwa hamuwezi?Anyway,uoe acha kutafuta sympathy/empathy!
Haya mambo yapo ndugu. Nina mifano ya watu 3 waliotokewa na hayo mambo.
Kuna mmoja alikuwa yupo na duka lake safi anauza na mkewe. Alipoenda kufuata mizigo ya biashara yake. Huku mwanamke akasafisha kila kitu. Mara ya mwisho kuonana naye alikuwa saidia fundi. Sijajua kwasasa
 
Unatafuta mwingine wa kukupiga. Tulia fanya mambo yako utampata bila kutumia nguvu.
 
tembelea ngara mkuu acha na hawa maslay queen.
 
Wewe Jamaa nakutukana mara tatu "fala fala fala" wewe
Ipo hivi mwanamke Ukimwambia uliwahi tendo fulani na mtu aliyekuacha kuna possibility nayeye akakufanyia hvo hvo tena zaidi

Ustafute kuonewa huruma kwenye mapenz
 
Natumai mko salama
Mwenzenu nilipigwa tukio ambalo liliniacha taabani kwa miezi kadhaa sasa

Wakati niko Chuo (SAUT) Mwanza, nilibahatika kupata mdada tuliekua nae chuo nikampenda na tukajikuta tupo kwenye mahusiano.

Baada ya kumaliza Chuo tuliamua kubaki Mwanza kupambana na maisha. 2019 rasmi tukaingia mtaani kujitafuta.

Tukaanza kuhangaika na biashara ndogondogo za hapa na pale ambazo zikawa zinatupatia kias kidogo cha pesa kujikim na maisha. Muda wote huo tulikua bado hatujatambulishana rasmi katka familia zetu.

2021 akapata ujauzito, na tukaelewana baada ya kujifungua bas twende nyumbani tukatambulishane. Bahati mbaya ujauzito ukaharibika ukiwa na miezi minne.

Lakini tukaendelea na mpango wetu wa kwenda kutambulishana kwa wazazi, ambapo tulienda kwao Moshi nikajitambulisha na nikatoa na mahari (maana nilikua nimesave kias flan cha pesa).

Mwaka uliofuata 2022 kuna rafiki yangu akanifundisha biashara ya mazao. Tukawa tunaenda kijijin kununua mazao (mpunga na mahindi) tunaleta mjini.

Biashara hii ilianza kunipa faida nzuri kidogo na maisha yetu kidogo yakaanza kubadilika tofauti na mwanzo.

Nikajikusanya pesa kama M5 nikamfungulia salon ya kike. Kisha nikajichanga tena kwa mda flani tukanunua kiwanja (Kisesa).

Nachomshukuru Mumgu skua mtu wa pombe wala wanawake so nilikua naweza kusave pesa japo biashara haikua kubwa sana.

Sasa kuna tukio likaja kunipata mwaka huu mwezi wa sita. Huwa tukienda kijijin kukusanya mazao huwa tunakaa siku nne mpaka wiki. Safari moja nikawa nimeenda kijijin, baada ya siku mbili pesa niliyokua nayo ikakata, nikasema nimpigie wife aniazime kias flani then nikiuza nzigo nimrudishie.

Siku hiyo nilipiga sana simu haipatikani Piga sanaaa lakini haipatikani. Kesho yake nikaamua kufunga safari kurudi home nijue tatizo ni nini. .

Nafika home sikuamini nilichokikuta.. Nilikuta nyumbani hakuna hata kijiko chumba cheupe, nikakimbia salon kwake sikukuta ata kitana😭...

Alibeba kila kitu akatokomea. Nikapiga simu kwao wakasema hawajui alipo na hata wao hawampati kwenye simu.

Niliumia sana maana sikujua sababu ya yeye kuondoka ni nini, hatukua na ugomvi wowote tuliishi kwa amani na upendo.

Baadae mwezi wa nane nikaja kuskia kumbe aliondoka na rafiki ake walienda Uarabuni kufanya kazi. Sikutaka tena kumfatilia wala kujua habari zake.

Japo alinirudisha nyuma sana kiuchumi na kila kitu coz nilijikuta nimeanza maisha upya kabida na nikaanza kunywa pombe kuondoa mawazo mpaka biashara nikastop.

Nashukuru Mungu ile hali niliishinda nikaachana na pombe na nimeanza tena biashara yangu mdogomdogo.

NIPO HAPA KWA SHIDA MOJA
Kwa mda mrefu sana nimejikuta sipo kwenye mahusiano maana niliyachukia kwelikweli. Naomba kama kuna mdada ambae yuko tayari kuanzisha mahusiano yenye lengo la kuoana, alie tayari kuanza maisha ya chini, mwenye sifa zifuatazo
-Awe na hofu ya Mungu
-Asiwe mlevi (kama mywaji iwe kidogo)
-Asie mvivu (mpambanaji)
- Umri asizid miaka 32
-Dini yyte (mm ni mkristo)

Plz ani dm au anitumie email kupitia @salumjohn296@gmail.com
Haya mambo tunaçhukuaga ushauri kwa wanaume na kamwe ke hatakiwi kujua.SIRI YA KIUME TU HIYO na ukimpata anayeijua hii Siri yako umekwisha! Ni kama umetengeneza uchochoro wakapitishe uchafu wao.
 
Natumai mko salama
Mwenzenu nilipigwa tukio ambalo liliniacha taabani kwa miezi kadhaa sasa

Wakati niko Chuo (SAUT) Mwanza, nilibahatika kupata mdada tuliekua nae chuo nikampenda na tukajikuta tupo kwenye mahusiano.

Baada ya kumaliza Chuo tuliamua kubaki Mwanza kupambana na maisha. 2019 rasmi tukaingia mtaani kujitafuta.

Tukaanza kuhangaika na biashara ndogondogo za hapa na pale ambazo zikawa zinatupatia kias kidogo cha pesa kujikim na maisha. Muda wote huo tulikua bado hatujatambulishana rasmi katka familia zetu.

2021 akapata ujauzito, na tukaelewana baada ya kujifungua bas twende nyumbani tukatambulishane. Bahati mbaya ujauzito ukaharibika ukiwa na miezi minne.

Lakini tukaendelea na mpango wetu wa kwenda kutambulishana kwa wazazi, ambapo tulienda kwao Moshi nikajitambulisha na nikatoa na mahari (maana nilikua nimesave kias flan cha pesa).

Mwaka uliofuata 2022 kuna rafiki yangu akanifundisha biashara ya mazao. Tukawa tunaenda kijijin kununua mazao (mpunga na mahindi) tunaleta mjini.

Biashara hii ilianza kunipa faida nzuri kidogo na maisha yetu kidogo yakaanza kubadilika tofauti na mwanzo.

Nikajikusanya pesa kama M5 nikamfungulia salon ya kike. Kisha nikajichanga tena kwa mda flani tukanunua kiwanja (Kisesa).

Nachomshukuru Mumgu skua mtu wa pombe wala wanawake so nilikua naweza kusave pesa japo biashara haikua kubwa sana.

Sasa kuna tukio likaja kunipata mwaka huu mwezi wa sita. Huwa tukienda kijijin kukusanya mazao huwa tunakaa siku nne mpaka wiki. Safari moja nikawa nimeenda kijijin, baada ya siku mbili pesa niliyokua nayo ikakata, nikasema nimpigie wife aniazime kias flani then nikiuza nzigo nimrudishie.

Siku hiyo nilipiga sana simu haipatikani Piga sanaaa lakini haipatikani. Kesho yake nikaamua kufunga safari kurudi home nijue tatizo ni nini. .

Nafika home sikuamini nilichokikuta.. Nilikuta nyumbani hakuna hata kijiko chumba cheupe, nikakimbia salon kwake sikukuta ata kitana[emoji24]...

Alibeba kila kitu akatokomea. Nikapiga simu kwao wakasema hawajui alipo na hata wao hawampati kwenye simu.

Niliumia sana maana sikujua sababu ya yeye kuondoka ni nini, hatukua na ugomvi wowote tuliishi kwa amani na upendo.

Baadae mwezi wa nane nikaja kuskia kumbe aliondoka na rafiki ake walienda Uarabuni kufanya kazi. Sikutaka tena kumfatilia wala kujua habari zake.

Japo alinirudisha nyuma sana kiuchumi na kila kitu coz nilijikuta nimeanza maisha upya kabida na nikaanza kunywa pombe kuondoa mawazo mpaka biashara nikastop.

Nashukuru Mungu ile hali niliishinda nikaachana na pombe na nimeanza tena biashara yangu mdogomdogo.

NIPO HAPA KWA SHIDA MOJA
Kwa mda mrefu sana nimejikuta sipo kwenye mahusiano maana niliyachukia kwelikweli. Naomba kama kuna mdada ambae yuko tayari kuanzisha mahusiano yenye lengo la kuoana, alie tayari kuanza maisha ya chini, mwenye sifa zifuatazo
-Awe na hofu ya Mungu
-Asiwe mlevi (kama mywaji iwe kidogo)
-Asie mvivu (mpambanaji)
- Umri asizid miaka 32
-Dini yyte (mm ni mkristo)

Plz ani dm au anitumie email kupitia @salumjohn296@gmail.com

Pona kwanza acha haraka usije kumtesa huyo utakaempata

Usingo sio kilema endelea kujipa muda
 
nikasema nimpigie wife aniazime kias flani then nikiuza nzigo nimrudishie.
Tatizo lilianzia hapo kwenye kuazima pesa toka kwa mkeo. Ukiwa mume, pesa ya mke ni yako,. Ulipaswa kuwa unammiliki mkee na pesa zake.
mdada ambae yuko tayari kuanzisha mahusiano yenye lengo la kuoana,
Na unataka kufanya kosa linguine hapa. Unatafuta mdada wa kuoana naye?? Wafrika hawaoani, mwanaume anaoa na mwanamke anaolewa.

Unajua maana yake? Maana yake ni kwamba mke akiolewa na mwanaume daima atakuwa chini ya mumewe na atapaswa kutii amri na maagizo.
 
Back
Top Bottom