SawaImeisha hiyooo point 3 kibindoni
ahahahaha eti imeisha hiyo!!Imeisha hiyooo point 3 kibindoni
Imetoka hiyoMwenzangu unaonaje?View attachment 2357072
KinyesiiiiUpuuzi kabisa huu wa kuibeba Makolo FC.
Mwenzangu unaonaje?View attachment 2357072
Kumbe mmenunua hii game!Mleta mada tafuta hela
Amekesha analia kwa uonevu uliotokeakwani Benjamin Asukile anasemaje?
Kumbe mmenunua hii game!
Ila hii hii hela ya GSM inaharibu sana mpira wetuCha ajabu uto hawazungumzii penati aliyonyimwa simba na zile kadi mbili nyekundu zilizozimwa kwa makusudi na refa wa ajana aliye kwenye orodha ya malipo ya jiesiemu