Tukiomboleza kifo cha Sultan Qaboos Al Said tusimsahau Jamshid Al Said anayeishi Uingereza aliyepinduliwa12.1. 1964

Tukiomboleza kifo cha Sultan Qaboos Al Said tusimsahau Jamshid Al Said anayeishi Uingereza aliyepinduliwa12.1. 1964

yeto

Member
Joined
Aug 23, 2010
Posts
59
Reaction score
40
Habari wakuu

Wananchi wa Tanzania wameguswana sana na kifo cha Sultan Qaboos bin Al Said,Pia viongozi wametoa pole katika mitandao ya kijamii na wakati akiumwa wananchi wengi walimuombea apone . Hata leo wengi bado wameweka status zakumkumbuka

Ukizingatia uhusiano mzuri na historia pana tuliyonayo na Oman

Wakati umefika kutumia methali ya kiswahili ya yaliyopita si ndwele tugange ya yajayo na yajayo hayawezi kuja bila kutibu vidonda vya zamani

Hivyo ikiwezekana kuwasiliana na Sultan Jamshid Al Said anayeishi Portsmouth nchini Uingereza akiwa ana umri wa miaka 90. Huyu ndiye Sultan wa mwisho wa Zanzibar aliyeondoka tarehe 12.1.1964

Katika utawala wao mengi yalitokea pia katika mapinduzi mengi yalitokea ikiwezekana mwaka kesho Mungu akimpa uhai aalikwe sherehe za Mapinduzi. Lengo ni kujenga maelewano na maridhiano na kusameheana kama wallivyofanya Afrika kusini hii itasidia maridhiano na kupatana. Hii itazidisha udugu wa Wazanzibari na nchi itasonga mbele kwani hamna nchi isiyo na makovu ya kihistoria muhim kujenga umoja

Nawakilisha







 
Kwenye historia tulifundishwa Sultan alihamisha makao yake kutoka Muscat Oman kwenda Zanzibar hivyo sikutegemea ndani ya Oman kuwe na Sultan mwingine zaidi ya yule aliyekuwa akitawala kutokea Zanzibar. Hii imekaaje? Historia imepotoshwa kama adaivyo Mzee wetu Mohamed Said?
 
Kwenye historia tulifundishwa Sultan alihamisha makao yake kutoka Muscat Oman kwenda Zanzibar hivyo sikutegemea ndani ya Oman kuwe na Sultan mwingine zaidi ya yule aliyekuwa akitawala kutokea Zanzibar. Hii imekaaje? Historia imepotoshwa kama adaivyo Mzee wetu Mohamed Said?
Mshua ndio alileta mchongo wa kuhamia Zenji, mishale flani kupita akaona miyeyusho kutawala Zenji na Oman au sio, hivyo akawagawia Wana, mmoko atawale Oman na huyu msela mwingine atawale zenji, mchongo huo ndio ulipelekea Qabuus pande za Oman na Jamshid pande za Zenji

I stand to be corrected

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ulielewa vibayaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uliyeelewa vizuri tuelimishe. Huyo naye alielewa vibaya?

"In 1806, one of Sultan ibn Ahmad’s sons murdered ibn Seif, who was his cousin, and declared himself Sultan of Oman. His name was Sayyid Said ibn Sultan. This was not an unusual way to gain power in Oman, owing to widespread family intrigues. "
....
"In 1840, Sayyid said decided to move his capital from the arid soil of Oman and its endless intrigues to Zanzibar, a place with a better climate, fertile soil and a peaceful atmosphere. ..."

Source: THE OMANI SULTANATE IN ZANZIBAR AND EAST AFRICA – HISTORICAL, POLITICAL, ECONOMIC AND RELIGIOUS ASPECTS – Dr. Arye Oded
 
Back
Top Bottom