Tukipaswa kuandaa kizazi cha kurithi madaraka, Kwa bahati mbaya Madaraka yakakirithi kizazi

Tukipaswa kuandaa kizazi cha kurithi madaraka, Kwa bahati mbaya Madaraka yakakirithi kizazi

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Tumetegemea sana vijana na wakaimu kuyarithi madaraka kwa kufuata taratibu na sheria zote,
Je wanaotegemewa wanaweza kazi za mabosi wao?
Kwa bahati isiyo nzuri Madaraka yenyewe ndo yanawaendesha wanaorithi,
Tukichagua msaidizi tuwe sure kwamba ataweza kusimamia Majukumu sawa na boss wake kama kasafiri au kaondoka kabisa.

Mategemeo yetu ilikuwa vijana kama
1.Mtatiro
2.Mwigulu Nchemba
3.Pole pole
4.Katambi
5.Waitara
6.Nape Nnauye
7.Mrisho Gambo
8.Makonda
9.Hapi Ally

Wawe ndo waleta hoja za kutetea nchi bila chembe ya uoga, na kujipendekeza,

Lakin wameyakwaa madaraka yakawatoa ufahamu
Kwa kifupi sioni kijana wa kuleta hoja bila kujipendekeza kwa rais katika vijana niliowataja,

Hakuna mtu anaweza tofautiana na rais kwa hoja na kupambana kwa hoja, au kuleta hoja mbadala, woote wamekuwa vibaraka kuyalinda madaraka hata Makamu wa Rais Mwenyewe si Mzuri kivile hatujapata kumpima kwa utendaji wowote zaidi sana Kwenye Bunge la Katiba,Kwa Mujibu wa Katiba yetu hii hii mbovu ikatokea muanguka anguka ovyo akaanguka kabisa je huyu mama atayarithi madaraka makubwa na kuipeleka nchi?
Madaraka yanawarithi wasaidizi badala ya wasaidizi kuyarithi madaraka ..

Mungu anawaona
 
Muda huu walishawatuma wajakazi sokoni kuemea chakula cha jioni wanaona kama hawana shida na njaa wala hawajui kua kesho wanaweza kosa nafasi wala pesa ya kumtuma kijakazi sokoni kuemea.

Nchi ikishazungukwa na vijana wanafiki kuendelea ni ngumu sana.
 
Mbowe akitangaza kwamba Ile Mikutano ambayo iliairishwa kwa Sababu ya Korona, sasa Kwakuwa Korona Imepungua, Mikutano inaanza upya UTAONA KORONA NAYO ITAANZA UPYA KWA MUJIBU WA CCM

Tweet yako hii mkuu britanicca
 
Kila mtu anataka kula na wengi wana hofu na mfumo mbaya dhidi ya kupingana na rais, ndiyo maana hakuna mwenye ubavu kuvuma.

Angalia issue ya ndugai, from that point unadhani tulia anaweza kujimwambafai kivyovyote vile akiwa as mkuu wa mhimili wenye nguvu kumhoji rais?.

KATIBA.
 
Kila mtu anataka kula na wengi wana hofu na mfumo mbaya dhidi ya kupingana na rais, ndiyo maana hakuna mwenye ubavu kuvuma.

Angalia issue ya ndugai, from that point unadhani tulia anaweza kujimwambafai kivyovyote vile akiwa as mkuu wa mhimili wenye nguvu kumhoji rais?.

KATIBA.
Yes
 
Britanica unatumwa kutuandaa na wanaokutuma Wana lengo lao!!hata hivyo asante kwa ujumbe Nadhani kwa kelele hizi Naamini wali umeshaiva muda SIO mrefu utaletwa sebuleni tule!!!
 
Kila mtu anataka kula na wengi wana hofu na mfumo mbaya dhidi ya kupingana na rais, ndiyo maana hakuna mwenye ubavu kuvuma.

Angalia issue ya ndugai, from that point unadhani tulia anaweza kujimwambafai kivyovyote vile akiwa as mkuu wa mhimili wenye nguvu kumhoji rais?.

KATIBA.
Kabisa
 
Uzalendo haupo, watu ni wachumia tumbo, watu ni walamba makalio ili watoto wapate kwenda toilet
 
Back
Top Bottom