Elections 2010 Tukipata katiba hakuna haja ya tbc na daily news

Elections 2010 Tukipata katiba hakuna haja ya tbc na daily news

niweze

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
1,008
Reaction score
118
Kitu cha Kushangaza Kwanini Wananchi Tunawalipa Wafanyakazi wa TBC na Daily News? Watanzania Tunajua Hivi Vyombo ni Mdomo wa CCM Kwanini CCM Isiwalipe? Sisiem Si Wana Mnamiradi Yenu? Wananchi Tunajua Bajeti ya TBC na Daily News na Waandishi Wengine wa Serikali? Vyombo vya Habari Tanzania Hasa Vinavyomilikiwa na Serikali Vinatakiwa Kuchangia Habari Ili Kujenga Balance Katika Society. Kinachoonekana Hivi Vyombo Vinafanya Kazi ya Sisiem Tanzania na Hatuna Haja Navyo. Kwa Upande Mwingine Tunawaonea Huruma Hawa Wafanyakazi Wanaojikuta Kuongozwa na CCM Badala ya Kuijenga Tanzania Kupitia Masomo Yao ya Uandishi wa Habari, Poleni Sana. Katiba Mpya ya Tanzania Haitaruhusu Chombo cha Habari cha Wananchi Kuwakilisha Chama Kimoja Kamwe. Haya Ndio Maafa ya CCM Katika Vyombo vya Habari.

"Mwisho wa CCM Sio 2015 Ila ni Miezi Tu Imebaki. Wapenda Nchi Fanyeni Kazi Kufichua Dhambi Katika Uchaguzi"
 
Kila taifa lina vyombo vyake vya habari lakini kama Daily News na TBC ni za CCM then Chadema ina Mwanahalisi na Tanzania Daima as their Mouth piece So what? acha kuropoka. na aliyekwambia mwisho wa CCM ni 2015 ni nani? yaani wanachama almost 5M watakufa au? au ulikusudia mwisho wa utawala? be specific and do not think wamelala!!

Acha u domo kaya!
 
Kitu cha Kushangaza Kwanini Wananchi Tunawalipa Wafanyakazi wa TBC na Daily News? Watanzania Tunajua Hivi Vyombo ni Mdomo wa CCM Kwanini CCM Isiwalipe? Sisiem Si Wana Mnamiradi Yenu? Wananchi Tunajua Bajeti ya TBC na Daily News na Waandishi Wengine wa Serikali? Vyombo vya Habari Tanzania Hasa Vinavyomilikiwa na Serikali Vinatakiwa Kuchangia Habari Ili Kujenga Balance Katika Society. Kinachoonekana Hivi Vyombo Vinafanya Kazi ya Sisiem Tanzania na Hatuna Haja Navyo. Kwa Upande Mwingine Tunawaonea Huruma Hawa Wafanyakazi Wanaojikuta Kuongozwa na CCM Badala ya Kuijenga Tanzania Kupitia Masomo Yao ya Uandishi wa Habari, Poleni Sana. Katiba Mpya ya Tanzania Haitaruhusu Chombo cha Habari cha Wananchi Kuwakilisha Chama Kimoja Kamwe. Haya Ndio Maafa ya CCM Katika Vyombo vya Habari.

"Mwisho wa CCM Sio 2015 Ila ni Miezi Tu Imebaki. Wapenda Nchi Fanyeni Kazi Kufichua Dhambi Katika Uchaguzi"


We niweze, uko serious au unatania watu hapa???

Unajua umuhimu wa vyombo vya habari au??
nA unaposema tukipata katiba tuviondoe unamaanisha hiyo katiba mpya itakuwa na mapungufu kama ya sasa ya vyombo vya umma kukitumikia chama badala ya wananchi???

Acha utani bwana, mabadiliko ya katiba yanagusa mpaka kwenye uendeshaji wa vyombo vya umma kwa manufaa ya umma na sio kwa manufaa ya kigenge fulani cha watu

Katiba ndio suluhisho la haya madudu unayoyaona sasa ndani ya TBC na Daily News

Are you there??
 
Unatoa hoja bila kuonyesha ushahidi wa ubaya wa Daily News na TBC. ACHA UMBEA!!!!!!!!!!!!!!
 
Kila taifa lina vyombo vyake vya habari lakini kama Daily News na TBC ni za CCM then Chadema ina Mwanahalisi na Tanzania Daima as their Mouth piece So what? acha kuropoka. na aliyekwambia mwisho wa CCM ni 2015 ni nani? yaani wanachama almost 5M watakufa au? au ulikusudia mwisho wa utawala? be specific and do not think wamelala!!

Acha u domo kaya!

Kweli Mkada wa CCM Mnafikiri CCM Bado Haijakufa! Hao Wanachama Mnaosema ni CCM Si Wasio na Elimu Hata Kusoma na Kuandika. Nyie Tunawaona Hapa Jamii Inawezekana Mnalipwa Sijui Kama Kuna Mtanzania Yeyote Mwenye Akili Timamu Anaweza Kutetea Umaskini wa Tanzania. Hii Nchi Ipo Katika Hali Hii Hapa Kutokana na Maamuzi ya Viongozi wa CCM. Hiyo Mikataba Mliosaini Katika Machimbo, Viwanda, Wizi wa Fedha Wizarani na Serikalini na Wizi wa Kura Vimesababisha na Vinaendelea Kuleta Maafa na Umaskini Tanzania. Tunajua Mtaandika Ushahidi wa Wizi wa Kura Upo Wapi, Jibu Litatokana na Commission ya Kuchunguza Uchaguzi Uliendeshwa Vipi. Tunajua Hamtaki Kuunda Kamati Wala Kuunda Katiba Mpya Kwasababu Demokrasia na Haki Ikipatikana Ndio Mwisho wa CCM Kabisa. Weakleak na Wanaoendelea Kutoa Siri za CCM Ndani ya Serikali Wanazidi Kudhihirisha Yote Tunayo Yajua Mpaka Sasa, CCM, Mkapa, Wahindi na Wafanyabiashara za Uongo Wanalindwa na JK. CCM Nyie ni Wezi Wezi Wakupindukia na Mhatarisha Maisha ya Watanzania Kila Siku.
 

We niweze, uko serious au unatania watu hapa???

Unajua umuhimu wa vyombo vya habari au??
nA unaposema tukipata katiba tuviondoe unamaanisha hiyo katiba mpya itakuwa na mapungufu kama ya sasa ya vyombo vya umma kukitumikia chama badala ya wananchi???

Acha utani bwana, mabadiliko ya katiba yanagusa mpaka kwenye uendeshaji wa vyombo vya umma kwa manufaa ya umma na sio kwa manufaa ya kigenge fulani cha watu

Katiba ndio suluhisho la haya madudu unayoyaona sasa ndani ya TBC na Daily News

Are you there??

Wewe Kweli Hujui Kusoma. Hiyo Comment Umeielewa au Ndie Nyie Mnasoma Haraka Haraka Mnakuja Kufeli Mitihani Shuleni, Soma Vizuri Hiyo Comment Kabla Huja Jadili Utombo. Jibu Umelisoma "Katiba Itaondoa Hao CCM Ndani ya TBC na Daily News Kama Wananchi Tutahitaji TBC na Daily News Sio Wachache Waamue Umuhimu wa Vyombo vya Serikali" Hakuna Haja ya Vyombo vya Habari Serikalini Kuwa na Bajeti Kubwa. Ukijenga Nchi Based on Media Power Toward Governments, We Will Destroy Democracy. Policy Makers Must Build Private Institutions to Support Free Private Media for The Purpose of Building Balance in Our Society.
 
"Tukipata katiba hakuna haja ya tbc na daily news"

Title na maelezo yako hayaeleweki. kwani katiba inasema TBC ni ya CCM? au itetee CCM? jamani tusome katiba kwanza kabla ya kulalamikia kila kitu. tatizo siyo katiba bali ni sisi tunaoendekeza hali hiyo bila kuipiga vita.
lakini pia TBC ni zaidi ya hayo malalamiko yako na imejitahidi sana ku balance mambo tofauti na miaka ya nyuma. kama huwezi kulijua hilo basi utakuwa na matatizo.
 
"Tukipata katiba hakuna haja ya tbc na daily news"

Title na maelezo yako hayaeleweki. kwani katiba inasema TBC ni ya CCM? au itetee CCM? jamani tusome katiba kwanza kabla ya kulalamikia kila kitu. tatizo siyo katiba bali ni sisi tunaoendekeza hali hiyo bila kuipiga vita.
lakini pia TBC ni zaidi ya hayo malalamiko yako na imejitahidi sana ku balance mambo tofauti na miaka ya nyuma. kama huwezi kulijua hilo basi utakuwa na matatizo.

Wewe Bado Hujawa Huru Kufikiria na Utumwa Umekufungia. Mpaka Sasa Unaishi Tanzania Unaona TBC au Daily News Ikifanya Kazi kwa Niaba ya Watanzania? Hongera kwa Brain na Uhuru Wako wa Mawazo. Hiyo Katiba Unayo Reference Hapa Pia Unaiona Inafaa kwa Watanzania? au Mafisadi. Wananchi wa Leo Si Hao Hao Mnafikiri Miaka Iliyopita, Tunafikiria na Kuuliza Maswali Sio Nyie Mliobaki Nyuma Mpaka Tuje Kuwakombolea Nchi Ndio Mtaamka Vitandani. Tunakuja Wewe Endelea Kulala na Kuiba Zaidi. Mwisho wa Ufisadi Haongojei 2015 ni Miezi Tu Imebaki.
 
Back
Top Bottom