Tukisema ligi ya EPL ndo kipimo Sahihi kwa Makocha na Wachezaji Tutakosea?

Blatter ndo nani FIFA kwa sasa
 
sio kweli,,EPL ni ligi maarufu tuu ila hakuna ligi mbovu km EPL kwa kuwa haina vipaji,,ina miaka mingapi haijatoa au kuingiza mchezaji kugombea balon d'o?Guardiola sio kocha mbovu ila kikosi ndio kibovu na ubaya zaidi ya timu za EPL kocha lazma awape priority wachezaji wazawa wkt hawana uwezo,,mfano angalia ela anayolipwa Rooney na kiwango chake,,je vinalingana?Spain itabaki kuwa bora kwa kuwa wachezaji wake wana vipaji na uwezo binafsi
 
kocha au mchezaj atakaemudu lig ya epl m kwang ndio bora. mf konte kaweza ko anajua, ko costa, ibra nk wanajua pia
 
kocha au mchezaj atakaemudu lig ya epl m kwang ndio bora. mf konte kaweza ko anajua, ko costa, ibra nk wanajua pia
Ligi ya italia ni nzuri sana sema hapa katikati imeyumba kidogo na wanamakocha bora kbsa,Conte,Mancini,polli,Massimo,Na pia timu zake zimewahi kuwapata tabu sana vigogo wa soka kama vile,Madrid,Man utd,munchen ndo maana Conte hapati shida kufundisha Epl na pia Ana misimamo sana
 
Pia Ngolo kante na mpiga shughuli sana baadhi ya wachezaji wengi wakienda Uk wanaendeleza Anasa zaid na kusahau majukumu yao mfano Depay,Pogba naye amepewa warning.
 
Hueleweki unazungumzia gurdiola au Rooney?
 
naeza kusema EpL ilikua bora kipindi cha 2005 mpka 2011 kwa sasa hivi Ligi bora ni ya spain (bbva) ila EPL ndo ligi yenye ushindani zaidi duniani
 
Nikikubaliana na wewe... Inabidi niseme hivii

Zinedine zidane kwa kuwa hakucheza La liga basi hajui au kina lampard na steven Gerrard wanajua kushind zizou..

RONALDO DE LIMA... Kwa heshima yake nimemuandika kwa herufi kubwa tuseme na yeye hajui kisa hakucheza england...

Lionel messi na yeye hajui.... Halafu mwisho wa siku akikutana na arsenal anawapiga goli 4 kama anavyotaka...

Kimsingi haupo sahihi....
 
kumbukumbu zangu zinaniambia sevilla alikula goli 7 na man city,madrid huwa anakimbzwa kabisa hapelekwi epl,na soon barce atakua haendi epl
Ndoto zingne hazihitaji tafsiri[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…