Tukitaka tuitokomeze Ushoga basi tuukatae ufeminist

Tukitaka tuitokomeze Ushoga basi tuukatae ufeminist

Dr Restart

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
4,949
Reaction score
24,046
Wasalaam.

Dunia inajiendea katika mifumo iliyoandaliwa. Hili swala la Ushoga lililopamba moto kwa sasa ni matokeo ya Ufeminist ulioratibiwa hapo kabla.

Ufeminist ni mfumo wa kuwatetea wanawake wajione wapo sawa na wanaume katika kila nyanja katika jamii. Na jumuiya za kimataifa zimewekeza nguvu nyingi katika kuhakikisha na kuiaminisha jamii kuwa wanawake na wanaume wanalingana.

Na katika hilo, jamii imetoa vipaumbele na upendeleo wa wazi kwa jinsia ya ke. Mambo yao mengi yamerahisishwa na imegeuka kuwa kandamizi kwa wanaume. Thamani ya mwanaume inatekezwa kwa makusudi kwa malengo maalum.

Ushoga ni hali ya mwanaume kutaka kuwa mwanamke. Iwe katika mapenzi, uvaaji na haki. Ushoga na usagaji ni chukizo kwa Mwenyenzi Mungu. Wanaume sasa wanatamani kuwa wanawake ili wapate vipaumbele jumuishi sawa na wapatavyo wanawake.

Taasisi za kutetea mashoga na aina nyingine ya watu wanaofanana nao zimetapakaa kila sehemu. Na bahati nzuri, taasisi zinazotetea Ufeminist zinafanya kazi hizo hizo za kutetea Ushoga.

Hii yote inatokana na jamii kukubali kuwa wanawake wanapaswa kuwa superior kuliko wanaume aua hata kukaribiana kulingana. Vitabu vitakatifu vinaeleza bayana kuwa mwanaume ameumbwa ili kuwa kiongozi katika familia. Na kama kuna kiongozi basi mwanamke anapaswa kuwa msaidizi kwa mwanaume. Kumlazimisha mwanamke awe kiongozi ni kumlazimisha mwanaume aenende katika namna ya kiuanawake. Jamii inayolelewa kikike hukua na kuwa jamii ya hovyo ya kikike pia.

Ukitazama katika nchi ambazo ufeminist haupewi nafasi basi hata kiwango cha ushoga ni kidogo mno. Chukulia mfano Afaghanistan na Saudia.

Tuutokomeze ufeministi ili Ushoga utokomee. Vinginevyo ni sawa na kuchotea maji kwenye mfuko uliotoboka.
 
Umeongea kitu cha akili ambacho wachache watakuelewa, hii sasa ni next phase watu wanagombana na program phase 2 baada ya phase one kufanikiwa.

Wanawake wamekuwa set up.

Walifikiri wazungu wanawapenda kupigania haki sawa kumbe wanaweza foundations ya kuja kuleta haya wanayo leta sasa.
 
Nimeikuta mahali hii
IMG-20230328-WA0001.jpg
 
Mimi sioni uhusiano. Yaani uamue kuwa shoga kisa kuna suala la usawa au upendeleo kwa wanawake. unajielewa kweli. Hivi hao wanaokula mashoga nao wanaitwa mashoga au. Mbona sisikii wakiongelewa
 
Hivi inakuaje mtu unaacha kuwaza maisha yako unayaendesha na kuyaboresha vipi unakaa kuwaza mashoga?

si ajabu hii nchi ni masikini.
 
Walioanzisha kampeni za ufeminist ndio hao hao wenye kampenzi za ushoga.
 
Kuna kitu bado hakijaeleweka Sawa Sawa hapa. Feminism analeta hoja kinzani Kwa kile kinachosemekana ni maisha Asilia/Natural existance. Kwamba sio, lazima kuzaliwa na jinsia ya kiume na kuishi kama mwanaume (kijamii). Sasa je shoga ni mwanaume au mwanamke?.
Whatever the answer, kama mwanaume mbona anakonyewa pamoja na jinsia yake ya kiume?. Feminism hawana mchango wa Direct kuhamasisha ushoga ila wenye mchango huu ni wale wa "demanding freedom /questioning freedom and equal rights" hawa wanajunuisha feminist, Marxist.. Etc. Ushoga ni moja Kati ya kesi zinazoudhalilisha /Tia dosari maana nzima ya man mascular/aggressive. Ndo mana wanaume ushoga unatuumiza Sana kuliko wanawake.
 
Mtamtafuta mchawi kwenye ushoga mtarudi mule mule. Ni nyie wenyewe wanaume
 
Hivi inakuaje mtu unaacha kuwaza maisha yako unayaendesha na kuyaboresha vipi unakaa kuwaza mashoga?

si ajabu hii nchi ni masikini.
Wakati miaka nenda rudi wanaishi nao

Ova
 
Mimi sioni uhusiano. Yaani uamue kuwa shoga kisa kuna suala la usawa au upendeleo kwa wanawake. unajielewa kweli. Hivi hao wanaokula mashoga nao wanaitwa mashoga au. Mbona sisikii wakiongelewa
Asante. Yan wala havihusini. Wanatafuta pa kulaumu wamekosa, wakaamua waongelee wanawake. Kwamba mwanamke akitaka haki sawa ndo vinyeo vya wanaume vinapata muwasho!
 
Ukweli ni kwamba KWA jinsi hali ilipo fikia sahiv kutokomeza ushoga haiwezekani hata ingewekwa sheria ya masoga kunywonga na usingeisha tumuombe Mungu tu
 
Back
Top Bottom