Mzee wa Safety
Member
- Mar 22, 2011
- 35
- 9
Napenda nitoe maoni yangu hapa na tujadili
1.Tume zipitishwe na Bunge
2.Tume ya uchaguzi iteuliwe na Bunge kuepusha kupendelea chama fulani au kulinda watu fulani
3.Tume ya katiba iteuliwe na Bunge
4.Tume ya katika ifikirie kuwepo kwa wagombea binafsi kuanzia
Ngazi za mitaa
5.Viti maalum vipunguzwe vibaki tu vya Makundi maalumu
6.Tume ya katiba iondoe jina Mheshimiwa libaki
Kuwa Ndugu
1.Tume zipitishwe na Bunge
2.Tume ya uchaguzi iteuliwe na Bunge kuepusha kupendelea chama fulani au kulinda watu fulani
3.Tume ya katiba iteuliwe na Bunge
4.Tume ya katika ifikirie kuwepo kwa wagombea binafsi kuanzia
Ngazi za mitaa
5.Viti maalum vipunguzwe vibaki tu vya Makundi maalumu
6.Tume ya katiba iondoe jina Mheshimiwa libaki
Kuwa Ndugu