Tukiwa wakweli ni kwamba klabu zote hizi mbili na baba yao TFF zina viongozi uchwara na wanafikiri kwa mihemko kama wanaogoza timu za mtaani

Tukiwa wakweli ni kwamba klabu zote hizi mbili na baba yao TFF zina viongozi uchwara na wanafikiri kwa mihemko kama wanaogoza timu za mtaani

Equalise

Senior Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
111
Reaction score
269
Kama mmojawapo kati ya simba , yanga na TFF angekuwa na akili za kutosha haya yasingetokea.

Simba:

Hata kama kanuni zinaruhusu kufanya mazoezi kwenye huo uwanja ila hakukuwa na sababu yenye mantiki kufanya mazoezi kwenye huo uwanja. Mna uwanja wenu wa mazoezi wa siku zote , sasa kipi cha maana kiwapeleke kwenye uwanja wa mechi mkafanye mazoezi?

Yanga:

Hata kama simba hawakutoa taarifa mapema ya kufanya mazoezi, kwa nini muweke watu wa kuwazuia kufanya mazoezi? Mshaifunga simba mara nne mfululizo , kipi cha ajabu kwenye hii mechi nyingine? huo uchawi kama unasaidia na upo kwa nini simba walifungwa mara nne mfululizo na mechi zingine wakiwa wenyeji.Ni ushamba tu na ujinga.

TFF:

Mnazidiwa nguvu na haya matimu mawili makubwa jinga. Mngekuwa na msimamo mkali haya yasingekuwa yanatokea mara kwa mara.
 
Kama mmojawapo kati ya simba , yanga na TFF angekuwa na akili za kutosha haya yasingetokea.

Simba:
Hata kama kanuni zinaruhusu kufanya mazoezi kwenye huo uwanja ila hakukuwa na sababu yenye mantiki kufanya mazoezi kwenye huo uwanja. Mna uwanja wenu wa mazoezi wa siku zote , sasa kipi cha maana kiwapeleke kwenye uwanja wa mechi mkafanye mazoezi?

Yanga:
Hata kama simba hawakutoa taarifa mapema ya kufanya mazoezi, kwa nini muweke watu wa kuwazuia kufanya mazoezi? Mshaifunga simba mara nne mfululizo , kipi cha ajabu kwenye hii mechi nyingine? huo uchawi kama unasaidia na upo kwa nini simba walifungwa mara nne mfululizo na mechi zingine wakiwa wenyeji.Ni ushamba tu na ujinga.

TFF:
Mnazidiwa nguvu na haya matimu mawili makubwa jinga. Mngekuwa na msimamo mkali haya yasingekuwa yanatokea mara kwa mara.
Yanga alikuwa na funguo za uwanja? Mwenye funguo za uwanja hakupewa taarifa,kumbuka ule uwanja sio wa TFF ni wa serikali, huwezi kuja kwa kujiamulia.

Hata hizo kanuni round ya kwanza mbona hazikutumika, Yanga walikataliwa kutumia uwanja na TFF baada ya kuomba,ila wao hawakususa wakaingiza timu uwanjani.
JamiiForums-777753140.jpg
 
Kama mmojawapo kati ya simba , yanga na TFF angekuwa na akili za kutosha haya yasingetokea.

Simba:

Hata kama kanuni zinaruhusu kufanya mazoezi kwenye huo uwanja ila hakukuwa na sababu yenye mantiki kufanya mazoezi kwenye huo uwanja. Mna uwanja wenu wa mazoezi wa siku zote , sasa kipi cha maana kiwapeleke kwenye uwanja wa mechi mkafanye mazoezi?

Yanga:

Hata kama simba hawakutoa taarifa mapema ya kufanya mazoezi, kwa nini muweke watu wa kuwazuia kufanya mazoezi? Mshaifunga simba mara nne mfululizo , kipi cha ajabu kwenye hii mechi nyingine? huo uchawi kama unasaidia na upo kwa nini simba walifungwa mara nne mfululizo na mechi zingine wakiwa wenyeji.Ni ushamba tu na ujinga.

TFF:

Mnazidiwa nguvu na haya matimu mawili makubwa jinga. Mngekuwa na msimamo mkali haya yasingekuwa yanatokea mara kwa mara.
Bila vilabu hivi kuacha kupewa umaalumu wa kuruhusiwa kufanya vitakavyo mpira wetu hautakaa uendelee.
 
Back
Top Bottom