Tukiwaambia La Liga ni ligi bora munabisha

Tukiwaambia La Liga ni ligi bora munabisha

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Inter kachapwa 2-1 nyumbani kirahisi na Barcelona iliyojaa watoto katika sehemu kubwa ya mchezo wa leo UEFA. Inter sasa kapigwa ndani nje na Barca.

Hapohapo leo ilikua mechi muhimu sana kwa Inter kushinda ili avuke round inayofuata, tunaelezwa Inter ndiyo timu inayokimbiza kwa sasa kule Italy na wanaongoza ligi yao Serie A.

Valencia kamtoa bingwa wa Uholanzi Ajax Amsterdam; Barca tumevuka kitambo, Liver naye kapita wacha tukutane naye mara hii tumuaibishe huyo anayeongoza ligi ya Uingereza, hapo tutahitimisha ile hoja ya La liga ndiyo mambo yote!

anssumane-fati-of-fc-barcelona-looks-on-during-the-liga-match-between-picture-id1174689327.jpeg
 
Wewe acha kuota anayeongoza Epl anaogopwa na kila kocha na kila mchezaji muulize Messi atakwambia Anfield ni kama Jehanam hakuna oxygen kabisa ,hakuna kocha anapenda kupangwa na liverpool narudia hakuna
 
Hata Baryan Munich alifungwa na Liverpool 3-1, nyumbani kwake!

Wewe jamaa umeanza lin kushabikia uefa. intermilan ya sasa siyo ya kucheza Uefa, ndio maana inapigwa tu. Inter ni wakucheza alhamis(Europa) na akina Arsenal. Intermilan ilikuwa bora ya msimu wa 2009/2010. Hata hao Barcelona wangu na Messi walifungwa.


Kwa hiyo usilinganishe ubora wa la liga kwa intermilan ya Ieo kufungwa na Barcelona! Ni ajabu sana
 
Ligi bora hapa kwenye keyboard lakini hakuna hata kibanda umiza chochote mtaani kinachoguswa kuonesha hizo mechi? [emoji28]
Shida iko kwenye majority ya wa tz wengi kuujua mpira...watu wengi wameweka ushabiki mbele...ndio maana hata idadi yawafuatiliaji wa VPL ni wengi mno kuliko wengine tufuatiliao mipira ya kueleweka!
Wengi wanashabikia Simba na yanga mpaka wengine kufikia kuzimia au kujiua!! Ni ujinga wa kiwango cha juu mno!!
 
Dharau ilituponza hili kila mtu analijua na ndio maana yale matokeo watu wengi hawakuamini walichokiona ukiwemo wewe
Binafsi me sio shabiki wa Liverpool but I have a great respect for this club just for one reason, they have never lost their DNA (fighting spirit without giving up).
Siku ile mlipigwa tena niseme na kikosi cha pili, msilete excuse.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukitaka uijue ligi bora uliza haya maswali uone watakavyokukimbia..

1) Tangia kuanza kwa karne mpya ya 21(ukitaja nyuma ya hapo utawaonea) klabu kutoka E.P.L zimechukua champions league mara ngapi !?


2) Kuanza kuanza kwa karne ya 21 klabu kutoka spain zimechukua champions league mara ngapi !?

Baada ya hapo utafahamu nani bora na nani maruufu !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukitaka uijue ligi bora uliza haya maswali uone watakavyokukimbia..

1) Tangia kuanza kwa karne mpya ya 21(ukitaja nyuma ya hapo utawaonea) klabu kutoka E.P.L zimechukua champions league mara ngapi !?


2) Kuanza kuanza kwa karne ya 21 klabu kutoka spain zimechukua champions league mara ngapi !?

Baada ya hapo utafahamu nani bora na nani maruufu !!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hutawaona, wanadhani ligi bora ni kuonyeshwa kwenye vibanda umiza. Wanasahau hata VPL inaonyeshwa vibanda umiza lakini huwezi ukaiita ni ligi bora
 
Back
Top Bottom