Yanga wameshawafundisha namna ya kumfunga Azam.Ligi imekuwa ngumu,kwa timu 3 za kwenye msimamo mpaka sasa ukidraw au kupoteza mechi kazi unayo.
Tusishangae Azam kufunga vigogo wawili au draw na kuchukua NBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Azam hawa hawa au kuna wenigne?Ligi imekuwa ngumu,kwa timu 3 za kwenye msimamo mpaka sasa ukidraw au kupoteza mechi kazi unayo.
Tusishangae Azam kufunga vigogo wawili au draw na kuchukua NBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu naona ni vyema sana maana ndiyo inakuwa ligi bora.Ligi imekuwa ngumu,kwa timu 3 za kwenye msimamo mpaka sasa ukidraw au kupoteza mechi kazi unayo.
Tusishangae Azam kufunga vigogo wawili au draw na kuchukua NBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna lisilowezekanaHilo haliwezekan kwa msimu huu
Narudia tena haliwezekani
Hukuona mechi za kimataifa au unakaza tu fuvuSisi kolokwinyoz tumesaidiwa na mbeleko yetu tff tumewahepa azam hadi January huko maspidi yao yatakuwa yemepungua labda tutabahatisha hata droo
Mkuu si unaina kila mechi hawapotezi sahiviAzam hawa hawa au kuna wenigne?
Sio tu hawapotezi, wanashinda goal nyingi sana, ni 3+
Unajiongelea ww,huyu round ya pili anagongwa vizuri tu na Yanga,labda ww uliye omba mechi yako isogezwe.Ligi imekuwa ngumu,kwa timu 3 za kwenye msimamo mpaka sasa ukidraw au kupoteza mechi kazi unayo.
Tusishangae Azam kufunga vigogo wawili au draw na kuchukua NBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Ligi imekuwa ngumu,kwa timu 3 za kwenye msimamo mpaka sasa ukidraw au kupoteza mechi kazi unayo.
Tusishangae Azam kufunga vigogo wawili au draw na kuchukua NBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutopoteza mechi mfululizo ni jambo zuri. Lakini kumaintaint hiyo form ni jambo jingine. Na pia kupata matokeo wakati haupo katika form nzuri, nacho ni kitu kingine pia.
Ceremonial team na ubingwa wapi na wapi Mkuu?Ligi imekuwa ngumu,kwa timu 3 za kwenye msimamo mpaka sasa ukidraw au kupoteza mechi kazi unayo.
Tusishangae Azam kufunga vigogo wawili au draw na kuchukua NBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiyo utazubaa na atakugonga kweli si utani, yanga keshamalizana nae atamsubili round ya pili na atakanyagwa vile vile, Tatizo lipo kwenu na timu yenu ya kuungaunga kikombe Cha Azam amtokiepuka mtachezea za kutosha!Ligi imekuwa ngumu,kwa timu 3 za kwenye msimamo mpaka sasa ukidraw au kupoteza mechi kazi unayo.
Tusishangae Azam kufunga vigogo wawili au draw na kuchukua NBC
Sent using Jamii Forums mobile app