Tuko vizuri, Ila tutazame upya aina ya timu za kuzialika Simba Day

Tuko vizuri, Ila tutazame upya aina ya timu za kuzialika Simba Day

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Nimepata nafasi mujarabu kabisa ya kuketi kwenye kiti cha VVIP nikishuhudia mtanange wa mnyama mkali yaani Mwekundu wa Msimbazi alivyomgalagaza Topolo la kirundi. Kwa kiasi chake ninaweza kusema kuwa tupo vizuri, hatuja piga hatua sana kwenye suala la ubora ukilinganisha na kikosi kilichomaliza msimu. Kwenye ligi hakuna mpinzani ila wasiwasi wangu ni kwenye michuano ya kimataifa.

Licha ya kushinda kwa idadi kubwa ya mabao, bado hapakuonekana na ubora na utulivu kwenye safu ya ulinzi. Ukizingatia hata timu yenyewe tuliyoshindana nayo ni ya daraja la chinHata hivyo nimeona sababu ya kutafakari upya kuhusu timu wageni tunazo zialika kwenye tukio hili muhimu, maana mara zote tumeshuhudia timu dhaifu tu zikialikwa ili tutengenezewe imani ya kwamba timu yetu ni bora. Hilo viongozi maomba walifanyie kazi.
 
Sasa hivi kuna changamoto ya Corona ligi nyingi zimesimama ila kwa kikosi kipana walichonacho simba bora wangepambanisha vikosi vyao.
 
Nani aje na Corona hii!
Hao Vital'o njaa imewaleta tu!
 
Mlete timu za maana mlie siku ya happy birthday yenu😂😂😂😂.

nani anataka lawama??
 
Nimepata nafasi mujarabu kabisa ya kuketi kwenye kiti cha VVIP nikishuhudia mtanange wa mnyama mkali yaani mwekundu wa msimbazi alivyomgalagaza Topolo la kirundi. Kwa kiasi chake ninaweza kusema kuwa tupo vizuri, hatuja piga hatua sana kwenye suala la ubora ukilinganisha na kikosi kilichomaliza msimu. Kwenye ligi hakuna mpinzani ila wasiwasi yangu ni kwenye michuano ya kimataifa...
Simba ni timu inayoongozwa na matapeli.

Screenshot_20200823-064133.jpg
 
Simba ni timu inayoongozwa na matapeli.

View attachment 1545422
Ni kweli Vital'O sio timu ya kutisha kwa Sasa, wanatambia historia tu. Lakin nimesikia kua lengo la awali ilikua ije National Al Ahly ya Misri. Ila baada ya kukataa dakika za mwisho ndio ikabidi watafute ingine. Hapo Sasa ni kua atakaekubali yoyote twende tu.

Next year ningeshauri wawaalike Uto FC. Na pia Uto nao wakifanya lao wamwalike Mmyama.
 
Simba ni timu inayoongozwa na matapeli.

View attachment 1545422

Minyani katu hayawezi kuwa na Akili.

Kwani hao kina Barcelona, Bayern, Real Madrid n.k. wakati wa Preseason wanapokwenda Asia na Marekani kucheza na Timu za mchangani nao ni Matapeli?
Hebu nendeni Mukadai Billioni 20 za MO kwani ndiyo kazi yenu sikuhizi.

Wewe ulikuwa nafasi ya Ngapi na Tumekutandika Goli Ngapi?
 
Ni kweli Vital'O sio timu ya kutisha kwa Sasa, wanatambia historia tu. Lakin nimesikia kua lengo la awali ilikua ije National Al Ahly ya Misri. Ila baada ya kukataa dakika za mwisho ndio ikabidi watafute ingine. Hapo Sasa ni kua atakaekubali yoyote twende tu.

Next year ningeshauri wawaalike Uto FC. Na pia Uto nao wakifanya lao wamwalike Mmyama.

If you aim for the star, and fail. You will surely land on the moon, not on earth.

Nadhani iko kwenye mipango yetu kuwa Simba Day tuwaalike wachovu ili kuleta tabasamu kwenye sura za watanzania. Unafikiri Simba tulikuwa hatujui kuwa siku ya jana Al Ahly walikuwa na ratiba ya kucheza na Zamaleck? . Hilo lilijulikana ndio maana tusingekuwa na uwezo wa kuwacontact. Na suala la kuwaalika halikuwa kwenye hesabu ya klabu.

ni upuuzi kwenda mbele kwenye klabu yangu.
 
Ni kweli Vital'O sio timu ya kutisha kwa Sasa, wanatambia historia tu.

Ndio sababu hata mimi nikajiuliza ni nani aliyeshauri hawa vijana waalikwe ili tucheze nao.
 
Back
Top Bottom