Tukubali au tukatae, chama tawala kimechoka mpaka sasa

Tukubali au tukatae, chama tawala kimechoka mpaka sasa

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Watu wanasema hata umri unavyozidi kuongezeka na ufanisi unapungua.

Kwa aina hii nimekaa kusikiliza mada nyingi, maoni ya watu, wachambuzi na media nyingi.

Wimbi kubwa linaeleza sana kama kichwa cha habari nilivyosema.

Turudie miaka iliyopita kwenye swala la uchaguzi? Hii inaonesha mfano tosha kama kichwa cha habari.

Sidhani kama watadumu kwa huu ufanisi wao ambao hutuliza watu kwa vyombo vya dola.

vyombo vya dola ndio imekuwa kingio lao kwa sasa na huko tunapoelekea watakuja kuweka jeshi sasa ili kuwa ngao yao.

Ila wanashindwa wataingia vipi! Kama polisi, usalama na sehemu zote wamepandikiza watu wao.

Basi hii ni hatari na kusababisha mageuzi ambayo kama tunaendelea hivi.

Maoni yangu na fikra zangu
 
Dalili siyo nzuri..chaguzi 4 mfululizo sidhani kama kitakuwepo..
 
Watu wanasema hata umri unavyozidi kuongezeka na ufanisi unapungua.

Kwa aina hii nimekaa kusikiliza mada nyingi, maoni ya watu, wachambuzi na media nyingi.

Wimbi kubwa linaeleza sana kama kichwa cha habari nilivyosema.

Turudie miaka iliyopita kwenye swala la uchaguzi? Hii inaonesha mfano tosha kama kichwa cha habari.

Sidhani kama watadumu kwa huu ufanisi wao ambao hutuliza watu kwa vyombo vya dola.

vyombo vya dola ndio imekuwa kingio lao kwa sasa na huko tunapoelekea watakuja kuweka jeshi sasa ili kuwa ngao yao.

Ila wanashindwa wataingia vipi! Kama polisi, usalama na sehemu zote wamepandikiza watu wao.

Basi hii ni hatari na kusababisha mageuzi ambayo kama tunaendelea hivi.

Maoni yangu na fikra zangu
Wanaccm wengi hawamkubali mama kwa sababu anatuludisha nyuma, mama alipaswa aanzie pale mwendazake alipoishia, cha kushangaza wapinzani wengi ndio wanamuelewa mama. Bongo upinzani hakuna kabisa, ungekuwepo upinzani imara hata kesho tu tungewapa nchi hata ikiwa kwa kuingia barabarani kufanya mambo kama yaliyofanyika jana Guinea
 
Kuna zimwi la vyama tawala kukabidhi madaraka linaendelea Kusini mwa Afrika, Tanzania sio special sana.
 
Wanaccm wengi hawamkubali mama kwa sababu anatuludisha nyuma, mama alipaswa aanzie pale mwendazake alipoishia, cha kushangaza wapinzani wengi ndio wanamuelewa mama. Bongo upinzani hakuna kabisa, ungekuwepo upinzani imara hata kesho tu tungewapa nchi hata ikiwa kwa kuingia barabarani kufanya mambo kama yaliyofanyika jana Guinea
Mwendazake ni wa hovyo kuwahi kutokea kwenye historia ya nchi hiii!!! Ameharibu mambo mengi ila yanafichwa!!!
Ni mkabila sana hili hata ccm wanalijua!!!ni mbinafsi kupita maelezo alitaka kila kitu kiwe kwao chato!!! Alifuja pesa kwa kiwango cha hatari!! Alianzisha miraji ya kitoto mfano Kwa mujibu PAC atc inaenda kufa muda c mrefu!!! In short viatu havikumtosha akajificha kwenye ukali!!! Ukiona hata darasan mwalim ni mkali jua kuna udhaifu anauficha!!!kuondoka kwa yule bwana ni Mungu kulinusuru hili taifa lilikua linasngamia ila ma lay man hawawezi jua!!??
 
Back
Top Bottom