Tukubali au tukatae ushirikina upo ktk kutafuta kazi...

JUKWAA LA NAFASI ZA KAZI NA TENDA LIMEANZA KUDISCUSS NA KUJADILI UCHAWI KAMA UPO AU HAUPO........
tunapotea njia wakuuu
 
Mdogo wangu uchawi upo kwenye fikra zako na mawazo yao ukiamini hivyo na kamwe haufanyi na mtu mwingine badala yako kwa hiyo usiamini hivi vitu ukiamini unaweza unaweza kweli. Je unaamini kile kisa cha kweli jamaa alidokolewa na kuku alikuwa anaatamia mayai yake maadam hakumuona kama ni kuku akasema ni nyoka kamdokoa yeye aliamini hivyo jamaa akafa ila kama angejua ni kuku asingekufa yeye alijua kabisa kama ni nyoka uwezekano wa kupona haupo sasa wewe ukienda kwa imani eti ni uchawi uwii utazunguka kwenye makampuni yote umejipaka masizi usoni ukiamini utapata kazi badala yake utaonekana kituko believe in yourself u can na utafanikiwa trust me.
 

kazi ipo ndugu, msimu huu wa kutafuta ajira kila fursa itatumiwa.
 

kumla kuku nsi kigezo kwamba hana sumu
 

Hizi si zama za kupotezeana muda. Kuna mambo mengi ya kufanya kuliko kuchangia pumba zako. Alafu nyie mijamaa mnao amini uchawi mnadumaza ata demokrasia
 
Huu ni uongo mtupu, kama hivyo jamaa anatafuta kazi ya nini? si aende kwa babu akute akaunti zake zote zimejazwa pesa benki? MUONGO MKUBWA WEWE, LO!

Si ndo hapo.....! Si asifanye Kazi...akutane Na mihera tu.
 
itabidi nianze ushirikana maana hata interview siitwagi!
 
tembelea www.ewebtz.com kuna job opportunities kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…