Baadae saanabado hali sio mbaya.
ila kitakuja kulia tu siku moja. just wait
SIo Watu wa KUFANYA MAANDAMANO kwa Sababu Haki hiyo Wanaminywa na Watawala kinyume na SHERIAMakamanda, tukubali ukweli kuwa pamoja na wito wa kuandamana kutolewa mara nyingi na viongozi wa CHADEMA, hakuna iliyofanikiwa. Tunajilisha upepo kufikiri kuwa tarehe 5 Agosti itakuwa tofauti.
Ni muhimu sasa tuwaambie viongozi wa Chadema waachane na mkakati huu ambao siku zote unashindwa. Kwanza viongozi wenywe hawaoneshi mfano.
Well saidSlaa alikiandamania chama cha Mbowe hadi akavunjwa mikono, Mbowe alifanya nini zaidi ya kumzunguka kwa vipande 30 vya fedha?
Siyo kwamba watanzania hawawezi kuandamana, lakini unaandamana kwa ajili ya nini? Mbowe? Mzee wa MIGA? Wanasiasa bana!
Sidhani kuwa hii ndiyo sababu. Tumeona nchi nyingi zinazotawaliwa kwa mkono wa chuma lakini bado watu wanaandamana. Mfano ni Sudan, Tunisia, Yemen n.kSIo Watu wa KUFANYA MAANDAMANO kwa Sababu Haki hiyo Wanaminywa na Watawala kinyume na SHERIA
Si kama wakoloni tu.. ww unadhani wakoloni waliondoka siku mojabaadae saana
Na Slaa sasa hivi yuko wapi?Slaa alikiandamania chama cha Mbowe hadi akavunjwa mikono, Mbowe alifanya nini zaidi ya kumzunguka kwa vipande 30 vya fedha?
Siyo kwamba watanzania hawawezi kuandamana, lakini unaandamana kwa ajili ya nini? Mbowe? Mzee wa MIGA? Wanasiasa bana!
Hivi unajua ulichoandika kweli? Sidhani kama kichwani kuko sawa!Hao watu wa kuandamana ndio hawa machinga mnaotaka wabomolewe mabanda yao au hawa mnaowaita wajinga wanaomsikiliza Askofu Gwajima?
Huelewi nilichoandika au mimi ndio sijui nilichoandika?Hivi unajua ulichoandika kweli? Sidhani kama kichwani kuko sawa!
Makamanda, tukubali ukweli kuwa pamoja na wito wa kuandamana kutolewa mara nyingi na viongozi wa CHADEMA, hakuna iliyofanikiwa. Tunajilisha upepo kufikiri kuwa tarehe 5 Agosti itakuwa tofauti.
Ni muhimu sasa tuwaambie viongozi wa CHADEMA waachane na mkakati huu ambao siku zote unashindwa. Kwanza viongozi wenywe hawaoneshi mfano.
Tumeanza kusikia Mwenyekiti wa BAVICHA akitangaza kuwa "Watakaoandamana watapigwa na IGP" ina maana yeye tayari ameshajitoa. Kwa mazingira haya tusitegemee kuona yeyote anaandamana. Hakuna miujiza.
Tuendelea kutumia key boards zetu.
Ili kuwaokoa wasiwe misused na viongozi magaidi wa chama fulani
Kwani hujamwelewa? Yaani ni kwamba politics za chadema zimepwaya sana kiasi kwamba hamna mnachokisimamia na hamna watu wa kuwaandamania. Huku uraiani ukimwuliza mtu kwa nini upo chadema anakujibu katiba mpya. Seriously?Hivi unajua ulichoandika kweli? Sidhani kama kichwani kuko sawa!