Mazengo 2001 kuna ticha alikuwa anaitwa TEMBO na mwingine MAKUNJA
Nchimbi..........headmaster alikuwa anapiga hadi makonda waliokuwa wakijipendekeza kwa wanafunzitall.......................................teacher wa sec. alikuwa mrefu kupita wotespire........................... alikuwa mpelezi sana wa wanafnz
Babu-alikuwa headmaster karatu boys,jina halisi songoyi.
mambo ya huruma ps hayp,ilikua ni shubeq shirima uncle cjui nn quebecShukebi=huyu alikuwa mwalimu wa jiograph prmry,kuna neno la kingereza alikuwa anapenda ktlitumia silikumbuki vzr,kwa kuwa tulikuwa hatumwelew anatamkaje si 2kawa tunasema shubeki,likawa jina lake,jamaa mnoko,ilikuwa bora uchapwe na walimu wa5 lakin si yeye akugonge stik,akishika zamu ni balaa!no kuchelewa namba.