Tukumbuke majina ya utani kwa walimu shule tulikotoka

kuna mwalimu mmoja pale singe secondary babati arusha jina lake ni Njiku,meno yake yamechomoza nje basi madent walimuita ngiri
 
kuna mmoja aliitwa pooltable alikua anfundisha arusha meru, aliitwa ivyo coz hupenda kisimama kwa kuegemea meza mithili ya mtu aanesubiria zamu yake kuchwza pooltable
 
Maspeed- mwalimu wetu alikuwa hawezi kutembe polepole.
Afro- mwalimu wetu wa kike alikuwa na minywele habani na siku zingine hachani.
Nendraaa- mwalimu wetu halikuwa hawezi kusema nenda.
Dah! Si shuleni kwetu kila mwalimu alipewa jina lake la utani.
 
kibano...... Huyu mwalimu wetu wa geog,o-level. Suruali zake zote zilikuwa zikimbana
 
Mwalimu Go home bling ur father-Magadura..Lake Sec MWANZA mwalimu wa kemia

aha haaa,umenikumbusha mbali,cjui yupo wapi huyu mzee cku hizi,aliwahi kunityt,kisa nimeingia dini darasa la wahindi,palikuwa hapatoshi,alichukua madaftari yangu akakaa nayo karibu siku nzima!daaah
 
hamsa-wa-ishirini=mwl wa muhimbili primary jamani alikua anachapa kama tupo guantanamo na akiwa darasani lzm amalizie na neno ha "utumwa wa waarabu walikua wanachapa waafrika hamsa wa ishirini fimbo yenye vichwa viwili" sitamsahau aisee
 
BONGOMAN-mwalimu wangu wa commerce o'level, alikuwa anavaa kama mwanamuziki kanda bongoman na alikuwa anacheza bolingo vibaya mno!
 
Umeniongeza furaha hapo...alilewa( nzwiii).

Ilikua mkoa gan?
 
...hahahahahahaha...namkumbuka ticha mmoja pale AZANIA alikuwa anaitwa Tokyo..jina halisi Mwl Yengela..jamaa alikuwa anavaa sana suali za tokyo...mlevi vibaya mno..cjui km bd yuko AZA Boy.....
 
Lol, Mhandisi!
Nimecheka lakini sasa namhurumia huyo Gurudumu.
Tumshukuru Mungu kwa kazi zake.

Ni kweli mpenzi, japo keki za cookery na maandazi ya dezo vilituhamasisha wengi pia kuopt cookery...kuna mwalimu wetu wa chemistry baada ya kujifunza periodic tables kwa mbinde msemo wake maarufu kwa sauti flani ya kichaga
'Slowli slowli you wili know all the simbozi !!'
'Slowly slowly you will know all the symbols'
 
so much,makumaku,mkanda boy hivi vichwa ni balaa...walikuwa waalimu maarufu kwa kuchakachua tuition..kama kuna mtu amesoma PCB au PCM lazima keshakutana nao au notice zao.
 
Fiudo-mwalimu anyefundisha Civics, pat ya modes of production (Feudalism)
Exotic-Mwalimu aliyepewa jina baada ya kufundisha exotic breeds of livestock

mode,huyu alifundisha cvcs selabasi ya zamani.....na mabo ya plato,dah
 
so much,makumaku,mkanda boy hivi vichwa ni balaa...walikuwa waalimu maarufu kwa kuchakachua tuition..kama kuna mtu amesoma PCB au PCM lazima keshakutana nao au notice zao.

Kweli hivi vichwa vilikuwa ni hatari...
 
Jamani hakuna waliosoma Tambaza? Kulikuwa na Kalu huyo Headmaster na mwingine Washawasha..... Huyu Washawasha si utani alikuwa mwanamke mbaya ana roho mbaya kama sura yake na mkali kweli
 
jaman mi nakumbuka nsumba 2likuwa na ticha anaitwa maumivu ful kukunja uso, na
zuma 2lilikuta hlo jina eti alifndsha kitab cha mine boy,
sumve nlikutana na shogamwaju,makaveli,maza,domodebe,rude alikuwa black. ilikuwa raha sana bt na mm xaxa nasomea ualimu hope ntapewa la kwangu.
 
mr OPAMP hyu ticha alifundisha topic ya OPAMP physics f5 miezi mitatu ikabid tumpejina hlo
 
Kwa waliopitia KILLY BOYS:

KICHEFUCHEFU (kichekiche): kwa sasa ni HAYATI
SAVIMBI: Alikuwa na sharafa kama savimbi, haogi ana suruali moja, haibadilishi na mifuko imejaa chaki
SUTI YAJANDO:
KIGURU:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…