Tumetoka kwenye ukata wa pesa
Tumetoka kwenye asilimia 15 ya bodi ya mkopo
Tumetoka kwenye mateso, utekaji na mauaji
Tumetoka kwenye ukosefu wa ajira
Tumetoka kwenye kusimamishwa fao la kujitoa
Tumetoka kwenye biashara kufungwa
Tumetoka kwenye kutoongezwa nyongeza ya mwaka na mishahara ya watumishi
Tumetoka kwenye soko hafifu la mazao ya chakula na biashara
Tumetoka kwenye uminyaji wa uhuru na demokrasia
Tumetoka kwenye taifa la vitisho na kubambikiana kesi
Tumetoka kwenye sheria kandamizi zilizotungwa na bunge
Tumetoka Tanzania ya 2015-2020, tunaenda Tanzania ya 2020-2025
Tumetoka kwenye asilimia 15 ya bodi ya mkopo
Tumetoka kwenye mateso, utekaji na mauaji
Tumetoka kwenye ukosefu wa ajira
Tumetoka kwenye kusimamishwa fao la kujitoa
Tumetoka kwenye biashara kufungwa
Tumetoka kwenye kutoongezwa nyongeza ya mwaka na mishahara ya watumishi
Tumetoka kwenye soko hafifu la mazao ya chakula na biashara
Tumetoka kwenye uminyaji wa uhuru na demokrasia
Tumetoka kwenye taifa la vitisho na kubambikiana kesi
Tumetoka kwenye sheria kandamizi zilizotungwa na bunge
Tumetoka Tanzania ya 2015-2020, tunaenda Tanzania ya 2020-2025