Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Son of Alaska, picha safi sana. Nikiziangalia napata picha ya vipi ukoloni unavyorudi TZ kwa kasi. Kuna akina Susi na Chuma wengi tu wamezagaa mawizarani na kwingineko serikalini right now!
 
naona bibi titi mohamed amesahaulika huyu mama..
 



FMES,
Kenyatta hakuwa na fimbo peke yake. Alikuwa pia na ule mkia wa ng'ombe uliosukwa kwenye fimbo. Wenyewe wanaita whisk. Ningekuwa na hiyo picha nigeiweka hapa.

Nadhani kiboko zaidi ni pale Nyerere alipokula chati na hasidi wake mkuu Amin

Wakuu zangu Kichuguu na Jasusi ,
Huyu jamaa Le Mutuz enzi hizo alikuwa sawa na Lucifer kabla hajatimuliwa na kulaaniwa kutoka mbinguni, yaani wakati hajawa IBILISI, ndo alikuwa anaweza andika kwa utii. Siku hizi ni aibu tupu..
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…