Tukumbushane: Doctor wa kutibu manundu Dudubaya

Tukumbushane: Doctor wa kutibu manundu Dudubaya

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Tukumbushane jamani zilizobamba wakati ule. Dudu baya Konki konki konki master oil chafu mamba.
Katika wimbo wake wa napenda manundu.

 
hahahaha huu wimbo huwa unanifurahisha sana enzi hizo nilikuwa darasa la tatu
 
enzi hizo nlikua mdogo sana me naijuaga mlambe unyao haiii mkamamate mabega haiii uuujooo hahahahaha
Wewe unaongelea wimbo wa Mashaka. Huu sio wa zamani



Kuna kitu kingine kinaitwa Nakupenda tu. Hebu checki hapa:

 
Enzi hizo hata sikumbuki nilikiwa wapi.
Wimbo wa Dudubaya unaonikumbusha maisha ya primary ni Kunguru hufugiki, mi Sifugiki, Toka, Sitoki! Toka, Sitoki! Akiwa na Sister P
 
Back
Top Bottom