Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Zamani wasanii wa bongofleva na muziki wa dansi walikuwa wanautaratibu wa kuzindua albamu zao ukumbini.
Wote ni mashahidi, nani asiyejua kumbi maarufu kama Diamond Jubilee ambazo ili uweze kuujaza ilihitaji uwe katika kariba ya akina Juma nature na wengineo.
Je unakumbuka nini enzi zile wasanii wanazindua albamu zao ukumbini? Albamu zipi zilikuvutia? Visa na matukio katika uzinduzi wa albamu hizo.
Karibuni...
Wote ni mashahidi, nani asiyejua kumbi maarufu kama Diamond Jubilee ambazo ili uweze kuujaza ilihitaji uwe katika kariba ya akina Juma nature na wengineo.
Je unakumbuka nini enzi zile wasanii wanazindua albamu zao ukumbini? Albamu zipi zilikuvutia? Visa na matukio katika uzinduzi wa albamu hizo.
Karibuni...