Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hahahah huyo jamaa ana hatari sana.. muigizaji wa superman christopher reeve alipooza kisa haohao farasiUmenikumbusha Ali Choki na kisa cha Farasi pale Diamond Jubilee.
Ali Choki akiwa katika ubora wa pekee katika dansi alizindua albamu yake siikumbuki jina, sasa akamua kuingia na farasi jukwaani.
Akatokea " mwehu " mmoja akaenda kumtekenya yule farasi aliyepanda Ali Choki.
Basi kilichofuata hapo ni Ali Choki kuanguka chini na toka siku hiyo akaanza kujulikana kwa jina la " Mzee wa Farasi ".
Nje ya mada:
Wangapi mnakumbuka vile viatu ( open shoes ) vilivyokuwa vinaitwa ali choki?
Baadaye akaona isiwe tabu, akaingia ukumbini na tingatinga...Umenikumbusha Ali Choki na kisa cha Farasi pale Diamond Jubilee.
Ali Choki akiwa katika ubora wa pekee katika dansi alizindua albamu yake siikumbuki jina, sasa akamua kuingia na farasi jukwaani.
Akatokea " mwehu " mmoja akaenda kumtekenya yule farasi aliyepanda Ali Choki.
Basi kilichofuata hapo ni Ali Choki kuanguka chini na toka siku hiyo akaanza kujulikana kwa jina la " Mzee wa Farasi ".
Nje ya mada:
Wangapi mnakumbuka vile viatu ( open shoes ) vilivyokuwa vinaitwa ali choki?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umenikumbusha Ali Choki na kisa cha Farasi pale Diamond Jubilee.
Ali Choki akiwa katika ubora wa pekee katika dansi alizindua albamu yake siikumbuki jina, sasa akamua kuingia na farasi jukwaani.
Akatokea " mwehu " mmoja akaenda kumtekenya yule farasi aliyepanda Ali Choki.
Basi kilichofuata hapo ni Ali Choki kuanguka chini na toka siku hiyo akaanza kujulikana kwa jina la " Mzee wa Farasi ".
Nje ya mada:
Wangapi mnakumbuka vile viatu ( open shoes ) vilivyokuwa vinaitwa ali choki?
hahaha kumbe!! Banza na Ali kwa miaka ile kuna kipindi walikuwa ni sawa Mond na Kiba.Baadaye akaona isiwe tabu, akaingia ukumbini na tingatinga...
Banza Stone akampa kijembe "Nyumba ya sterehe Kijiko kimefikaje?"
ha ha viatu vya choki vilisumbua sana...kuna mwingine aliingia na kijiko sijui nani ila Banza alidiss kwenye moja ya nyimbo za TOT BAND...."Kwenye starehe kijiko kimefikaje "Umenikumbusha Ali Choki na kisa cha Farasi pale Diamond Jubilee.
Ali Choki akiwa katika ubora wa pekee katika dansi alizindua albamu yake siikumbuki jina, sasa akamua kuingia na farasi jukwaani.
Akatokea " mwehu " mmoja akaenda kumtekenya yule farasi aliyepanda Ali Choki.
Basi kilichofuata hapo ni Ali Choki kuanguka chini na toka siku hiyo akaanza kujulikana kwa jina la " Mzee wa Farasi ".
Nje ya mada:
Wangapi mnakumbuka vile viatu ( open shoes ) vilivyokuwa vinaitwa ali choki?
Ni huyohuyo Ali Choki.ha ha viatu vya choki vilisumbua sana...kuna mwingine aliingia na kijiko sijui nani ila Banza alidiss kwenye moja ya nyimbo za TOT BAND...."Kwenye starehe kijiko kimefikaje "
ha ha ila muziki wa dansi ulikuwa mtamu sana....Huku Ali choki huku Banza Stone kule Mwinjuma Muumini mzee wa Tunda Spesho..Ni huyohuyo Ali Choki.
hahaha kweli mkuu ila kidogo wale nguvu zilikua zina shabianahahaha kumbe!! Banza na Ali kwa miaka ile kuna kipindi walikuwa ni sawa Mond na Kiba.
Nyakati zimekwenda wapi!!
Hakika Miaka inaenda mbio sana.Nakumbuka uzinduzi wa albamu ya "Ugali" ya Juma Nature pale Diamond Jubilee mjini Dar palikuwa hapatoshi siku hiyo uliliwa ugali na samaki ukumbini
Hahaha mkuu nature alikua na kismat sana na mwingi wa vitukoNakumbuka uzinduzi wa albamu ya "Ugali" ya Juma Nature pale Diamond Jubilee mjini Dar palikuwa hapatoshi siku hiyo uliliwa ugali na samaki ukumbini
Miaka inaenda aisee Diamond Jubilee ndo ulikuwa uwanja wa uzinduzi na shows...enzi hizo bongo fleva wakishazindua albamu wakipata hela tu wananunua gari Toyota BaloonHakika Miaka inaenda mbio sana.