Hii ni muhimu sana tukutane ili tufahamiane na kukumbukana ndugu zanguni,kumbukeni shule yetu ilianza mwaka 1926,nina imani ni kati ya shule kongwe Tanzania,nashauri kila mkoa tutambuane na tuchague viongozi wa mikoa hiyo kama ilivyokuwa Azimio,maendeleo,ujamaa,jitegemee na mapinduzi/muhimbili ili tupange kipi tunaweza kufanya kitu kikubwa sana,tusaidiane kupeana taarifa watu wengi waweze kujiunga na kutumia hii njia, unakumbuka TUMBUKTU?,MJENGO enzi za akina BOB? na mzee TEU? na KULE SINAI,itis mpwapwa sec which made my today's life. have a positive response.