Nkwabichalleslutonja
Member
- Jul 12, 2017
- 84
- 77
sory naomba urafiki na weweSijawahi aisee ila juzi mdogo wangu wa kike aliniomba hela kuwa wanaenda tour Bagamoyo kilichotokea nilitamani tugawane majengo ya serikali.
Maana alienda beach na watoto wa kihuni sijui hata aliwaza nini.
Baada ya kusikia nina mdogo wa kike ndio unataka urafiki mkuu?sory naomba urafiki na wewe
me pia mdogo itakua vizuri sanaBaada ya kusikia nina mdogo wa kike ndio unataka urafiki mkuu?
HahahahaBaba nimepoteza morning speech ya watu nadaiwa shs100000