1.GK yupo DSM kama kawaida anapiga zake msuli chuo mitaa ya Kurasini - JKT
2.SONEIl, &Kali P & Uswahilini Matola sina report zao
Anapiga chuo cha diplomasia kurasini.Juzi kati nilikuwa kwa P-Funk na nilibahatika kusikiliza moja ya ngoma alizofanya.Am sure ile ngoma lazima itamrudisha kwenye game tu yoo...
Kali p yupo kitunda
kali p yupo kitunda
Mimi ni miongoni mwa watu wanaoamini kuwa wasanii wa zamani walikuwa na vipaji, ila kwa hili kuna haja ya kufikiria upya.
Kali p yupo kitunda
kali P ni DJ wa Bar flan maeneo ya Banana... kwa chota yuko pale kila siku