''hata Real Madrid wakicheza wachezaji 15 uwanjani basi nina uhakika AC Milan tutaibuka na ushindi ktk mechi hii''.
Kauli hiyo iliporomoshwa na Kocha wa AC Milan Aligo Sacchi ktk mechi ya nusu fainali ya klabu Bingwa Ulaya mwaka 1989.
Katika mechi hiyo Real Madrid walichapwa goli 5-0.
AC Milan siku hiyo waliwakuwa na Nyota kama Galli, Tassotti, Maldini, Costacurta, Baresi, Palombo, Donadoni, Rhiijkard, Van Barsten, Gullit, Ancelotti...
Hiki ndicho kikosi kinachoaminika kuwa bora katika historia ya Soka Ulimwenguni.