REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
poleni na majukumu wadau
lei nimepita sehemu nimeona vijana waliomaliza form six wakisimuliana maisha ya chuo kikuu wakanikumbusha mbali sana hasa fujo za wanafunzi mda boom likitoka
nimekumbuka wadau tulikuwa tuna msemo wetu boom likitoka tu lazima uende ATM ukavute 50,000 ya tambiko basi hata kana unakipindi unaacha unaenda tambika
kutambika ilikuwa ni kula vizuri na kunywa vizuri siku nzima mzigo ukikata unarudi ATM unavuta tena unaingia club kutia fujo ilikuwa pesa kidogo ili ilitosha sana basi fujo tu totoz nini
huu ulikuwa mda wa mapito na hi ililikuwa raha tu siku nyingine tutakumbushana shida na matizo ya chuo hasa boom linapokata
vip wewe mdau unnakumbuka nini?
samanini sana wale boom mliotumia kuoa ba kufanya biashara piteni tu hapa hapawahusu.
lei nimepita sehemu nimeona vijana waliomaliza form six wakisimuliana maisha ya chuo kikuu wakanikumbusha mbali sana hasa fujo za wanafunzi mda boom likitoka
nimekumbuka wadau tulikuwa tuna msemo wetu boom likitoka tu lazima uende ATM ukavute 50,000 ya tambiko basi hata kana unakipindi unaacha unaenda tambika
kutambika ilikuwa ni kula vizuri na kunywa vizuri siku nzima mzigo ukikata unarudi ATM unavuta tena unaingia club kutia fujo ilikuwa pesa kidogo ili ilitosha sana basi fujo tu totoz nini
huu ulikuwa mda wa mapito na hi ililikuwa raha tu siku nyingine tutakumbushana shida na matizo ya chuo hasa boom linapokata
vip wewe mdau unnakumbuka nini?
samanini sana wale boom mliotumia kuoa ba kufanya biashara piteni tu hapa hapawahusu.