sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 158
Nani ambaye alishawahi kucheza mpira (ligi za watoto) Mbeya, Kwenye kiwanja ngoma.
Mimi nilikuwa nachezea Tim moja ilikuwa inatokea Iyunga, tulikuwa tunajiita Everton. Kiongozi wetu alikuwa anaitwa BENO, mmoja ya Wachezaji tulokuwa nao ni Emannuel Gabriel aliyekuwa anachezea Simba ila Jana nimemuona Arusha.
Tujikumbushe
Mimi nilikuwa nachezea Tim moja ilikuwa inatokea Iyunga, tulikuwa tunajiita Everton. Kiongozi wetu alikuwa anaitwa BENO, mmoja ya Wachezaji tulokuwa nao ni Emannuel Gabriel aliyekuwa anachezea Simba ila Jana nimemuona Arusha.
Tujikumbushe