Snow White, Volcano, Forest, Polisi nk umenikumbusha mbali sana.
Kuna timu ilikuwa inatokea Isanga sijui ilikuwa inaitwaje.
Mi nilikuwa shabiki tu.
Mimi nilichezea Jogoo Basha na bdae nikacheza Saitama.
nilicheza black town na akina mwamba mkumbwa kipindi hicho akina yona mwakalinga ndo walikuwa wametoka kuchujwa,nakumbuka nishawahi kuteguka bega wakati nadaivu kudaka shuti la abdul(said)mtupa dah!!!kitambo sana
naskia siku hizi ule uwanja wazee wameweka garden pale wananywea bia!too sad sijui tutawapata wapi akina vicent barnabas wengine tena?
Mimi nilichezea Jogoo Basha na bdae nikacheza Saitama.
Yes nadhani umeisoma, polisi walikua wanajidai sana, eti watoto wa line
Timu ya Sheikh Pole, pia ilikuwepo Jah People Barabara ya tano. Ilikuwa kama Yanga.
Timu ya Sheikh Pole, pia ilikuwepo Jah People Barabara ya tano. Ilikuwa kama Yanga.
Hahahaaaa....! Mkuu mie nilikuwa mmoja wa timu ya watoto wa Line, tulikuwa tukienda uwanja ngoma kila mtu alikuwa anatakiwa abebe mkanda wa baba yake wa kazini, timu ilikuwa inatisha wakati huo mimi nilikuwa kipa walikuwa wananiita mtoto wa jini.
Jogoo Basha nilikuwa nawekwa benchi, lakini nilifunga goli la kuchukua ubingwa fainali, full maushirikina siku hiyo.
Naklumbuka jaamaa yangu alikuwa kipa na moja ya masharti aliambiwa asishike miamba ya goli, aliposhika tu shuti lililopigwa golini likatinga wavuni
watoto wadogo wachawi, ndo maana soka la bongo halikui
Kuna dogo alikuwa anaitwa masoksi, tungekuwa kwenye nchi zinzo thamini michezo yule dogo muda huu angelikuwa Zilionea
Hiyo ndo hali halisi man uchawi kwenye soka mpaka kwenye mipira ya Makaratasi,
Uchawi kwenye soka yetu ni jadi, wakati huo ilikuwa tunaweka mbufu golini au senti 5 tunaamini ukikaa golini mpira haupiti, namkumbuka Hamad Kapalata alikuwa mfupi lakini machachali.
Kuna dogo alikuwa anaitwa masoksi, tungekuwa kwenye nchi zinzo thamini michezo yule dogo muda huu angelikuwa Zilionea
Kuna wadudu flani walikuwa wanajenga kwenye miti ya xmass na walikuwa wanajenga kijumba cha miti unaambiwa kabla ye mechi tulikuwa tunaenda mistuni kutafuta alafu tunaweka kwenye goli. kuna mzee mmoja alituambiaga