mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
Mimi nilikuwa timu moja ilikuwa inaitwa Super star winga ya kulia, nilikuwa na jamaa mmoja alikuwa anaitwa Tiba baadaye akaenda ujenzi Rukwa kwa sasa sijui yupo wapi
naskia siku hizi ule uwanja wazee wameweka garden pale wananywea bia!too sad sijui tutawapata wapi akina vicent barnabas wengine tena?
Timu ya Sheikh Pole, pia ilikuwepo Jah People Barabara ya tano. Ilikuwa kama Yanga.
dogo anakunywa tu mapombe machafu isanga huko,mpira ulishajiishia zamani!yani kama tungekuwa na mfumo wa maana wa kupata wachezaji,sidhani kama East and Central hii kuna vipaji kama vya kwetu!Mgaza, Maya Samson, Meshack Abel, Yona Ndabila, Ebwana vipaji sijui vimeishia wapi. Namsikia Meshack na Ndabila kidogo
daah mkuu umenikumbusha hawa watu daa! nilikuwa nao secondary mpira wao si mchezo sijui hata wameishia wapikwa sasa!Hahaaaaaaaaaaaaaaaaa..................Sekulu umenikumbusha mbali sana na Kiwanja ngoma.....
Speechless....
Peter Luwungo......Mtoto wa Majengo/Nonde huyu,alikuwa na kipaji huyu dogo,bila kuwasahau Sadik Mwamlima na bwana mdogo Mgaza Mhina.....
mara ya mwisho nilimsikia akiwa polisi moro,Mimi nilikuwa timu moja ilikuwa inaitwa Super star winga ya kulia, nilikuwa na jamaa mmoja alikuwa anaitwa Tiba baadaye akaenda ujenzi Rukwa kwa sasa sijui yupo wapi
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaa..................Sekulu umenikumbusha mbali sana na Kiwanja ngoma.....
Speechless....
Peter Luwungo......Mtoto wa Majengo/Nonde huyu,alikuwa na kipaji huyu dogo,bila kuwasahau Sadik Mwamlima na bwana mdogo Mgaza Mhina.....
Binafsi nilicheza pale mwishoni mwa 80s mwanzoni mwa miaka ya 90.......Na nilikuwa nikihudhuria mechi za pale mpaka 1996 bila kukosa,nimesikitika sana kusikia kwamba eti sasa hivi ni garden watu wanakata Kilaji bin Ulabu......Dah
dogo anakunywa tu mapombe machafu isanga huko,mpira ulishajiishia zamani!yani kama tungekuwa na mfumo wa maana wa kupata wachezaji,sidhani kama East and Central hii kuna vipaji kama vya kwetu!
daah mkuu umenikumbusha hawa watu daa! nilikuwa nao secondary mpira wao si mchezo sijui hata wameishia wapikwa sasa!
Nakumbuka timu ya Nonde ilikuwa na fujo sana, jamaa wakifungwa walikuwa wanarusha ngumi mwamzo mwisho....chini ya timu meneja wao Shuku!!
Ndo hivo mkuu tulipofika lazima tukumbuke tuliotoka
Ndo utandawazi, Watu wanatamaa mbaya kabisa
Vijana wengi sana tulokuwa nao, kama hawakuendeleaga na shule, basi pombe kwa kwenda mbele!
Na ndo maana nataka kujua kila mtu atasema lake na utajua nani yupo wapi!
Hahahahaha watoto wa nonde walikuwa balaa, mpaka leo nonde ni bad nuz mbaya kabisa man!
Duu nimepotezana naye siku nyingi sijui kwasababu niliacha kufuatilia ligi ya nyumbani, kutokana na sababu za ki-psychology. Nani anapenda kuumiza moyo wake mara kwa mara?mara ya mwisho nilimsikia akiwa polisi moro,
daah mkuu umenikumbusha hawa watu daa! nilikuwa nao secondary mpira wao si mchezo sijui hata wameishia wapikwa sasa!