Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge kuendelea kujilipa Mishahara minono Mil.16 kwa mweziMiongoni mwa mambo ya hovyo ni;
1. Abiria kusimama kwenye basi kuwa kitu cha kawaida
2. Malori kupaki barabarani na kuziba njia
3. Kuuza na bidhaa na kutokutoa risiti
4. Watumishi wa Serikali kutojali wananchi
Haya nayo mkayatizame!Miongoni mwa mambo ya hovyo ni;
1. Abiria kusimama kwenye basi kuwa kitu cha kawaida
2. Malori kupaki barabarani na kuziba njia
3. Kuuza na bidhaa na kutokutoa risiti
4. Watumishi wa Serikali kutojali wananchi
Wafanyabiashara kukaidi bei elekezi.Miongoni mwa mambo ya hovyo ni;
1. Abiria kusimama kwenye basi kuwa kitu cha kawaida
2. Malori kupaki barabarani na kuziba njia
3. Kuuza na bidhaa na kutokutoa risiti
4. Watumishi wa Serikali kutojali wananchi
Akisema hivyo anapanda ndege na kwenda US kupumzikaHaya nayo mkayatizame!
Rushwa njenje
Yani umeandika yote haya na kusahau kero kubwa ya kukatika kwa Umeme???Miongoni mwa mambo ya hovyo ni;
1. Abiria kusimama kwenye basi kuwa kitu cha kawaida
2. Malori kupaki barabarani na kuziba njia
3. Kuuza na bidhaa na kutokutoa risiti
4. Watumishi wa Serikali kutojali wananchi
Naomba kirefu cha ICDViwanja vya Wazi kuuzwa Holela.
Vituo vya mafuta makazi ya watu.
Ujenzi Holela wa ICD.
Upigaji kwenye miradi.
Wingi wa Wahamiaji Haramu.
Madawa ya kulevya kuongezeka.
Biashara ya Magendo kukithiri.
Bandari Bubu kuvusha mizigo bila kodi
Ukwepaji kodi kupitia GSM et al
Hakuna kitu kinanikera Sasa kama huyu mhalifu . Sasa hivi anaonekana shujaa. Kwenye nchi za watu wanaoheshimu Sheria alipaswa awe ananyea debe, au basi yuko nje ya madaraka.BASHITE