dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
Tukumbushane maneno ya kizungu ambayo wabongo tunajifanya ni lugha yetu
mfano;
We "bitozi' tu
Huyu jamaa ni "joblesi"
"poa"
"Kompyuta"
Hayo maneno ya kwenye fungua na funga semi ni asili ya kizungu lakini tumejifanya kuyabisisha.
Tuendelee.
mfano;
We "bitozi' tu
Huyu jamaa ni "joblesi"
"poa"
"Kompyuta"
Hayo maneno ya kwenye fungua na funga semi ni asili ya kizungu lakini tumejifanya kuyabisisha.
Tuendelee.