niko poa, njoo nikunong'oneze....
Mimi hapa bwana mkubwa
twende pm....
at least leo umemkumbuka mumeo halisi...
Hahahah....ninyi ni maarufu kwangu na baba yenu tu full stop
Ukiona hivo jua nimezidiwa aise
Hili jukwaa tokea tulisuse naona limetetereka kabisa...
I miss u shemkwe,bint zako hawajambo?
miss u more shemkwe wa mimi, mabinti wazima kila mtu yupo na kwake sasa!!
Hongera umekuza
tupo mkuu, tunachimba madini migodini
dawa waijua?
Wapi Madam B, charming lady, uran, Lady doctor, Arushaone, Filipo, marejesho, Lily flower, Preta, PakaJimmy, Mwanyasi, Tonykp, choice, Heaven on Earth, Erickb52, Honey Faith n.k