Nimekuitika mke wa ujana wangu.... Nimeambiwa umeniita.kwi kwi kwi kwi! charminglady ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaa! wapi gfsonwin, Fixed Point, Asprin, Kaizer, KARIA, Watu 8, Mtambuzi, uwiiiiiiiiii ni shidaaaa!
kwi kwi kwi kwi! charminglady ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaa! wapi gfsonwin, Fixed Point, Asprin, Kaizer, KARIA, Watu 8, Mtambuzi, uwiiiiiiiiii ni shidaaaa!
Jamani rudini
Dahhhhhhhh!!!!!!!!, ChitChat ya mwaka ule ilikuwa poa sana jamani, sijui mdudu gani kaingia.
nimeona id yangu flani,kumbe ilikuwa maarufu,teh teh halafu nimeikana kabisa situmii jamani
nitarudi nayo baadaye,akiba haioziNa kuifunga haiwezekan au...?
Deactivate moja ubakize moja if applicable
nitarudi nayo baadaye,akiba haiozi
zote pamoja zinatumikaOkay, alafu na hii?