Wanyakyusa
-Tumoghele
-Akalindwana
-Ndondondo
Kuna wimbo mmoja wa Kipare ni mzuri sana nimeusahau jina halafu ni maarufu.
hii kali, ngoja ni gugoLinkatangachupuru.
Hv hii ni nyimbo ya Mkoa gani?
Hivi harusi za kimaasai watu huwa hawarushiani mikuki kweli wakati wa kucheza?
yeah,huwa ni mzuri
sana. hasa ukipata wanaojua kuucheza kwa kutikisa mabega weee utapenda
thatha!
Kuna wimbo mmoja wa Kipare ni mzuri sana nimeusahau jina halafu ni maarufu.
Ndolela Chaserereka Wajita - Ndolele | Muziki.net
Wangoni - Tuwajambasile wageni
Wangoni - Tuselebuke huu ndio maarufu mjini
Wangoni - Tumfunde mwai
Wangoni - Nigenda nepipi
Wangoni - Mkun'gunday
Wangoni - Dela dela
Wangoni - Kapungu(Kandege Karondora)
Hehehe, kuna moja ya 'anaringa na ba jerusalemu', sijui kama nimekosea maneno. Naupenda, afu sijui maana yake.
Tuwajambusile kiongozi sio tuwajambasile hahaa kiongozi umeifanya siku yangu iwe murua
Tupiamo nyimbo za huko Katesh, Dongobesh basi
Mwai wetu ahohi oe timuenda timvone,Akunda eeh akunda----
Shida ya hiyo lugha yetu kuandika ni shughuli nzito naogopa kutukana
Wahaya ndo kiboko, ukumbi una tiles na ac ila wakicheza vumbi linatimka kama kiwanjani.
King'asti said:Lubegho la mwana luwaja, aeeee luwaja
luwaja khangi ubighe ngakaroo, aee luwajaaa!
Huu wimbo ndo utajua mwenye wowowo nani
na mwenye sony wega nani hehehe
Huo wimbo niliimbiwa mimi wakati napewa ujasiri kabla sijatembezewa kisu cha ngariba
hahaa, huz nimekutach eeh! vp muzima weye. mic u so april. . .
na wahaya akina Bishanga, shida tupu...... mi sitakagi kabisa kuhudhuria sherehe zaoKwenye harusi wachagga huwa wanatia aibu, wavivu kucheza hao...