Tukumbushane pasipoti toilet

nessonlegend

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
1,698
Reaction score
1,512
maisha yanakwenda kasi sana, nakumbuka kuna siku nilikuwa hapo jiji la makonda kwa jamaa yangu geto. sasa baada ya kubanwa na haja nikataka kwenda huko msalani huku mvua ikiwa inanyesha, nikaomba mwavuli kwa mshkaji. baada ya kufika huko huku nimeshikilia mwavuli nikaanza (ku-long call) sasa kimbembe ni baada ya kumaliza haja nikawa na hitaji kutawasa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ hapa ndipo nilipoona mwavuli haukuwa na msaada wowote maana nililowana vya kutosha tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Attachments

  • uswazi.jpg
    9.5 KB · Views: 21
Hahaha " haya wale wa manzese " tandale" " M.nyamala " mbagala .buguruni " vingunguti " kinondoni shamba " kiwalani " Temeke sudan . Msasani maandazi road Tukutane Hapa
 
Ukiwa mrefu alafu ukaenda kuoga unaweza hisi unaoga nje maana unaonekana kabisa unajimwagia maji au unajipaka sabuni.
 
Air Ventilation 100% na wenyewe tuna signal zetu kama kuweka nguo mlangoni, kukohoa nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…