Digo zee
JF-Expert Member
- Jan 20, 2017
- 608
- 1,252
1) Mmiliki wa mpira ni lazima acheze, endapo hatopata namba basi ANAONDOKA na mpira wake.
2) Ukiwa mbabe, hutolewi mpaka mechi inaisha.
3) Hakuna kucheza ukiwa umevaa viatu.
NB. Kama hujawahi kucheza mpira wa makaratasi ( sodo/ chandimu) ulikosa uhondo wa soka kipindi hicho. [emoji1787]
2) Ukiwa mbabe, hutolewi mpaka mechi inaisha.
3) Hakuna kucheza ukiwa umevaa viatu.
NB. Kama hujawahi kucheza mpira wa makaratasi ( sodo/ chandimu) ulikosa uhondo wa soka kipindi hicho. [emoji1787]