- mwenye mpira anapanga team yake
- wote mnaocheza marefa au kama yupo uamuz
Wake utategemea kama team zote zimekubali
- alama za magoli inategemea na mahali inaweA ikawa mawe au milingot isiokuwa na mwamba wa juu kwa hiyo goli la juu litahesabika kutokana kimo cha kipa