TUKUMBUSHANE: Simu yako ya kwanza kumiliki

TUKUMBUSHANE: Simu yako ya kwanza kumiliki

madindigwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
2,488
Reaction score
2,904
Habar wakuu mi nakumbuka mwaka 2004.ilikua ni mwaka wangu wa kwanza kumiliki simu ya Nokia 3310 .nakumbuka ilikua siku moja uliita mlio wa simu nikapokea.hollow hallow kumbe ni ujumbe wa SMS .ukweli niliaaibika sana ukizingatia tulikua tumekaa watu kibao mitaa ya Uhuru jiji la miamba kwa walio fika.manake nilipokea kwa mbwembwe nyingi na madaha kibao.bac kulikua na mshikaji wangu mmoja akaniumbua kwa saut wewe hiyo SMS unapokeaaa duh USO ulinishukaa balaa simu hiz siwez kusahau.
 
Tar 4 July 2004 Nokia 2210, hii ni siku nilinunua line na kuweka kwenye simu yangu hiyo ya Nokia 2210.
 
246f0727dc6fed49f3af3ba64eb97c7b.jpg

77172690058fa4123b749fce4f2e7f2b.jpg
 
Motorola zenye yellow colour kalikuwa kekundu
 
Simu yangu ya kwanza ilikuwa ni hiyo[emoji28][emoji28][emoji28]![emoji116].......ninayo hadi leo!
 

Attachments

  • Old-Phone%282%29.jpg
    Old-Phone%282%29.jpg
    11.6 KB · Views: 20
Back
Top Bottom