Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
katika ukuaji wangu miaka ya nyuma stori hizi zilivuma sana, sijui zilikuwa na ukweli au danganya toto tuu.
1. Nyerere alikataa kumpa Bob Marley mkono badala yake alimpa kifimbo katka sherehe za uhuru wa Zimbabwe
2. Mvua ikinyesha huku jua linawaka eti simba anazaa
3. Albino 'zeruzeru' eti hawafi
4.Nyerere aliwahi kupigwa mtama na bodyguard wake ili akwepe risasi iliyoelekezwa kwake
Karibu utukumbushe wewe unakumbuka ipi
1. Nyerere alikataa kumpa Bob Marley mkono badala yake alimpa kifimbo katka sherehe za uhuru wa Zimbabwe
2. Mvua ikinyesha huku jua linawaka eti simba anazaa
3. Albino 'zeruzeru' eti hawafi
4.Nyerere aliwahi kupigwa mtama na bodyguard wake ili akwepe risasi iliyoelekezwa kwake
Karibu utukumbushe wewe unakumbuka ipi